Kazi nzuri haswaa! Hio pesa ya kuishi kiboss kabisa na kumtukana mume vizuri nyumbani😅😅😅Ubalozi wa Marekani, Tanzania wanahitaji Nesi.
Aliyessajiliwa, Mwenye uzoefu walau Miaka 2.
Kazi nzuri.
cc: Wenye taaluma yao.Ubalozi wa Marekani, Tanzania wanahitaji Nesi.
Aliyessajiliwa, Mwenye uzoefu walau Miaka 2.
Kazi nzuri.
Kutuma Maombi fungua link hapa chini...
Mkulima mdogo wa kujikimu.Wewe taaluma yako ni ipi?
Ndoa ni zaidi ya mshahara.Kazi nzuri haswaa! Hio pesa ya kuishi kiboss kabisa na kumtukana mume vizuri nyumbani[emoji28][emoji28][emoji28]
Kazi nzuri haswaa! Hio pesa ya kuishi kiboss kabisa na kumtukana mume vizuri nyumbani😅😅😅
Usikubali kukutwa!! Yaani mke akuzidi kipato, then awe mtii! Ni ngumu sana.Ndoa ni zaidi ya mshahara.
Tutafute helaUsikubali kukutwa!! Yaani mke akuzidi kipato, then awe mtii! Ni ngumu sana.
Sijui kwenye pesa kuna nini jombaa...
Kuna mshikaji wangu alimkopea mke wake mtaji kama wa 40M biashara ya mke ikakubali, dharau zilizoko sasa sio ndogo!!
Simply kwasababu mke aliweza kuclear lile deni, tena mwishoni hapo.
Jamaa anaendelea na ajira yake, ila hela ya mke ndani ni kubwa zaidi. Ila si mchezo.
Pesa Pesa Pesa....ni maroho mabaya sana.
Machalii wajiandae kukutana na zile reply za Ur not my typeKazi nzuri haswaa! Hio pesa ya kuishi kiboss kabisa na kumtukana mume vizuri nyumbani😅😅😅
Hiyo akikatwa take home ni kama 2.8 ml. Wala usishtuke sana ni kawaida tuu4,000,000? Duh
Not less than 3.5M nje ya posho utakazo kutana nazo semina nights overtime n.k. accumulation per month inaweza kugota 5M to 6M.Hiyo akikatwa take home ni kama 2.8 ml. Wala usishtuke sana ni kawaida tuu
Kazi nzuri haswaa! Hio pesa ya kuishi kiboss kabisa na kumtukana mume vizuri nyumbani[emoji28][emoji28][emoji28]
Pesa, Umaarufu na mamlaka huifunua tabia ya mtu. Humleta mtu halisi ambaye anaweza kuwa sie mliyemzoea!Usikubali kukutwa!! Yaani mke akuzidi kipato, then awe mtii! Ni ngumu sana.
Sijui kwenye pesa kuna nini jombaa...
Kuna mshikaji wangu alimkopea mke wake mtaji kama wa 40M biashara ya mke ikakubali, dharau zilizoko sasa sio ndogo!!
Simply kwasababu mke aliweza kuclear lile deni, tena mwishoni hapo.
Jamaa anaendelea na ajira yake, ila hela ya mke ndani ni kubwa zaidi. Ila si mchezo.
Pesa Pesa Pesa....ni maroho mabaya sana.
Ubalozi wa Marekani, Tanzania wanahitaji Nesi.
Aliyessajiliwa, Mwenye uzoefu walau Miaka 2.
Kazi nzuri.
Kutuma Maombi fungua link hapa chini...