Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
2.8M unaona ni hela ya kitoto wabongo bana dah😂Hiyo akikatwa take home ni kama 2.8 ml. Wala usishtuke sana ni kawaida tuu
Ukiangalia salary figures utaona almost 90% ya waajiriwa bongo hawaifikii take home ya hio figure! 30% kati yao wanakula mishahara ya vibarua tu ya 1M-1.2M then 60% wako 900K and below