Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wewe 2.8 padogo hapo!Hiyo akikatwa take home ni kama 2.8 ml. Wala usishtuke sana ni kawaida tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe 2.8 padogo hapo!Hiyo akikatwa take home ni kama 2.8 ml. Wala usishtuke sana ni kawaida tuu
Kwhyo wewe hujawahi kubahatika hata interview kupitia hizo sites?Mimi sielewi sijui labda sina zali maana kuna ajira portal watu wanapata. Kuna Sites zingine pia tu recruitment agencies watu wanapata. Kuna humo LinkedIn
Ndiyo mkuu, naona safari hii wametuacha hadi sikukuu zipite🤔 ila nikikumbuka ile paper😀Kumbe na ww upo kwenye list ya tunaosubir majibu kutoka kwa Board
Itakuwa Annual base salary (49/12 = 4,083,000)Mzee bofya hyo link,, wameandka salary ni milion 49+ sio milion 4
Eti iyo hela ni ya kawaida sana,kweli dunia hii pana sanaHiyo akikatwa take home ni kama 2.8 ml. Wala usishtuke sana ni kawaida tuu
Sure....Hela ndefu sana hio huwezi compare na wale wa 1.2M Gross😅! Halafu utamu wa hela ya mzungu inaingia kwa wakati na shuruba sio nyingi ofisini. Likizo zako unakaa home unalipwa..Bima unalipiwa yani kama serikali watakata hela nyingi humo haizidi 500K.
Sasa 3.5M ndogo?
Ukipata kazi na ukakuta kazi wanayotaka ufanye huwezi watakufundisha, then utaangaliwa ndani ya Miezi 6.Nesi mshahara 4m!manesi wenye hizo qualications wapo,swala ni je hiyo kazi anayokwenda kuifanya ataiweza...?
Unakomaje kwa mfano😅Sure....
Kichekesho ni hao wanaolipwa hivyo lakini bado kwenye vikao unakuta wanadai malipo zaidi.
Ila ndugu zetu wa Serikali tukufu ya CCm huwa hawaoni. Mtu analipwa 1.5M daktari (medical doctor) hivi uwizi wa dawa utakaa ukome?
Ndiyo mkuu, naona safari hii wametuacha hadi sikukuu zipite[emoji848] ila nikikumbuka ile paper[emoji3]
Ngoja tusubiri tuone itakavyokua mkuuNahis baada ya New year mambo yatakuwa tayari maana najitahid kutokuwa na presha
Ngoja tusubiri tuone itakavyokua mkuu
Ubalozi wa Marekani, Tanzania wanahitaji Nesi.
Aliyessajiliwa, Mwenye uzoefu walau Miaka 2.
Kazi nzuri.
Kutuma Maombi fungua link hapa chini...
Seeker - Vacancy - Detail Overview
erajobs.state.gov
Mkuu unafanya kazi nchi gani?Not less than 3.5M nje ya posho utakazo kutana nazo semina nights overtime n.k. accumulation per month inaweza kugota 5M to 6M.
Nyumba/kulipiwa nyumba karibia 70% au 100% kabisa ya pango
Mkuu tatizo unafikiri kila mshahara unakatwa Kodi kama huo wako.Mkuu unafanya kazi nchi gani?
Hiyo 4m less makato ya nchi hii inabaki huko huko 2.8m. Mimi sijafika kipato hicho lakini nakatwa kodi mpaka laki 6 kwa mwezi.
Sasa mshahara grosa ya mil 4 apokee net ya 3.5m yaani akatwe 500k tu? Labda kama sio Tanzania.