Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Af mtu anapost kwa kejeli wakati ukute hata hio kazi yenyewe tu hana😅very true
Af mtu anapost kwa kejeli wakati ukute hata hio kazi yenyewe tu hana[emoji28]
Mmmh! Wanawake wa sayari gani hao unawaongelea ndugu yangu?Hahahahah ulipwe million 4 huyo kijana dereva wa Tanesco atasalimika unadhani[emoji28]! Sindio mwendo wa kumpigisha deki na kumuoshesha vyombo kijana wa watu na kejeli za kila kona kwani muna jema basi?
Wabongo utatuweza sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Af mtu anapost kwa kejeli wakati ukute hata hio kazi yenyewe tu hana[emoji28]
Daah hao ndio wanawake bhanaUsikubali kukutwa!! Yaani mke akuzidi kipato, then awe mtii! Ni ngumu sana.
Sijui kwenye pesa kuna nini jombaa...
Kuna mshikaji wangu alimkopea mke wake mtaji kama wa 40M biashara ya mke ikakubali, dharau zilizoko sasa sio ndogo!!
Simply kwasababu mke aliweza kuclear lile deni, tena mwishoni hapo.
Jamaa anaendelea na ajira yake, ila hela ya mke ndani ni kubwa zaidi. Ila si mchezo.
Pesa Pesa Pesa....ni maroho mabaya sana.
Kwny website nimekuta wameandika salary ni milion 49+4,000,000? Duh
Kwahiyo ikitokea kakuzid uachane nae au sioUsikubali kukutwa!! Yaani mke akuzidi kipato, then awe mtii! Ni ngumu sana.
Sijui kwenye pesa kuna nini jombaa...
Kuna mshikaji wangu alimkopea mke wake mtaji kama wa 40M biashara ya mke ikakubali, dharau zilizoko sasa sio ndogo!!
Simply kwasababu mke aliweza kuclear lile deni, tena mwishoni hapo.
Jamaa anaendelea na ajira yake, ila hela ya mke ndani ni kubwa zaidi. Ila si mchezo.
Pesa Pesa Pesa....ni maroho mabaya sana.
Mzee bofya hyo link,, wameandka salary ni milion 49+ sio milion 42.8M unaona ni hela ya kitoto wabongo bana dah[emoji23]
Ukiangalia salary figures utaona almost 90% ya waajiriwa bongo hawaifikii take home ya hio figure! 30% kati yao wanakula mishahara ya vibarua tu ya 1M-1.2M then 60% wako 900K and below
Million 49 kwa mwezi?😅Mzee bofya hyo link,, wameandka salary ni milion 49+ sio milion 4
Ndo nko naenda kumtukana boss hapa[emoji23] ntaleta mrejesho nikishapokea mshahara wangu wa mwez january mana milion 49 sio kitoto ujue[emoji3]
Kwanini hujui au😅Extrovert kwanini lakini🙄🙄🙄🙄
Million 49 kwa mwezi?[emoji28]
Kama Per annum sio kesi ni 4 ile ileMwaka imeandikwa per annum
Kama Per annum sio kesi ni 4 ile ile
yepUshawahi kupata kazi kupitia LinkedIn?
Nimeitamani , kila rakheri kwa watakaoipata
Hongera bana nipe mbinu ulifanyaje
sawa ntakupa lakini niambie kwanza kwani wewe unaamini mtandao gani una kazi nyingi genuine ambao hata interview unapataHongera bana nipe mbinu ulifanyaje
Mimi sielewi sijui labda sina zali maana kuna ajira portal watu wanapata. Kuna Sites zingine pia tu recruitment agencies watu wanapata. Kuna humo LinkedInsawa ntakupa lakini niambie kwanza kwani wewe unaamini mtandao gani una kazi nyingi genuine ambao hata interview unapata
Bado , vipi nikimaliza nikucheki mkuu?