Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu)

Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu)

Niko nasoma hiki kitabu,story ni za miaka ya 1800's lakini zinaonesha Africa haijabadilika,kuna mtemi walifika eneo lake akaanza kupiga ngoma na kudai apewe sanda amzike mkwe,wakampa nguo kadhaa kauliza

Hii sio dhihaka kweli ? Yani nimefiwa na mke wangu alafu mnanipa hongo ndogo hivi
Screenshot_20230116-231141.png
 
Niko nasoma hiki kitabu,story ni za miaka ya 1800's lakini zinaonesha Africa haijabadilika,kuna mtemi walifika eneo lake akaanza kupiga ngoma na kudai apewe sanda amzike mkwe,wakampa nguo kadhaa kauliza

Hii sio dhihaka kweli ? Yani nimefiwa na mke wangu alafu mnanipa hongo ndogo hiviView attachment 2484496
Nakipataje mkuu?
 
Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu)

Mtoto wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa sasa rasmi amejiunga na kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo (PSU).

Hivi karibuni (mwishoni mwa Mwaka 2022) Ian alihitimu mafunzo yake ya Kijeshi katika Chuo cha Royal Military Academy, Sandhurst, nchini Uingereza, moja ya vyuo mashuhuri vya kijeshi Duniani.

View attachment 2484407View attachment 2484408View attachment 2484410View attachment 2484411View attachment 2484412
Watusi wa RPF bhana wanafanya kama alivyokua anafanya Habriymana!!!Tatizo la wanyarwanda ukabila 🤣🤣🤣Dogo anaweza kua mrithi wa babake kama Wahutu hawatompindua baba yake
 
Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu)

Mtoto wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa sasa rasmi amejiunga na kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo (PSU).

Hivi karibuni (mwishoni mwa Mwaka 2022) Ian alihitimu mafunzo yake ya Kijeshi katika Chuo cha Royal Military Academy, Sandhurst, nchini Uingereza, moja ya vyuo mashuhuri vya kijeshi Duniani.

View attachment 2484407View attachment 2484408View attachment 2484410View attachment 2484411View attachment 2484412
pamoja na kwenda chuoni huyu dogo tukikutana mkono kwa mkono napiga vibaya mno hawa watu inabid wawe wanachunguza maadui kabla kuweka mlinzi
 
Back
Top Bottom