Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Hapo umeeleza vizuri trade ya kutrap souls kupitia matendo maovu .. wao hawajauza nafsi ila wameamua kujiunga kwenye ufalme huo kwa benefits fulani na ni watu wa ufalme huo tayari wakiwa na nafsi zao ..

Nini maana ya Nafsi?
Nafsi ni mwili wa ndani wa mtu ambao KAZI yake ni kubeba au kutunza record ya maisha yako.
Binadamu ana miili miwili wa nje unaokufa na wa ndani uliokufa huu uonekane ktk ulimwengu wa roho,huu ndo wachawi Wana Dili nao ndio unaoongoza mwili wa nje.
 

Attachments

  • Screenshot_20250228_220222~2.jpg
    48.8 KB · Views: 1
Acha majungu Mkuu watu wanapambana Sana kukuza brand zao kwa kutumia akili , pesa na maarifa sasa inakuaje unawashutumu watu Kwa hear say
 
Uendawazimu tu
Hata hao wanaovaa maguo
Yao wendawazimu

Ova
 
Ndo Mungu mke(malkia wa mbinguni) huyo alikuwa anaabudiwa na wengi kwa kutojua na wachache kwa kujua.rejea

Matendo 19:27
Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.
 
Ni zaidi ya mavazi. Angalia nyimbo zake zimebeba maudhui gani. Mavazi yanasindikiza agenda tu,agenda yenyewe inabebwa kwenye maneno ya nyimbo.

Kinywa cha mtu hutoa yaujazayo moyo wake!
 
Mbibi kama huyu unamkaza vilivyo ili aendelee kukubariki na utajiri
 
We uoni maudhui ya music ni kumtukuza zaidi shetani.
Music una nini zaidi ya ngono,pombe,Bata,ugomvi,kukaa uchi.
Ni Dili shetani ananufaika kwa kumsaidia kuibomoa jamii n wewe una nufaika kwa kupata pesa.Ni dirty game.
Vipi kuhusu muziki wa injili?

Muziki ni nini?
 
Hata huu mziki wa injili ukiutazama kwa jicho la rohoni ni ushetani,,tangu mwanzo haikuwa hivi.ndiyo maana AGANO JIPYA liko kimya juu ya mziki, kwakua lenyewe ni AGANO la rohoni Wala sii la mwili.
Fafanua, kwa jicho la rohoni unauona vipi? Namaanisha vipengele vipi unauona ni ushetani?

Kwa nini kuna talanta za uimbaji? Mungu alilenga nini kutoa talanta hizo kwa wale wanaofanya muziki?
 
Fafanua, kwa jicho la rohoni unauona vipi? Namaanisha vipengele vipi unauona ni ushetani?

Kwa nini kuna talanta za uimbaji? Mungu alilenga nini kutoa talanta hizo kwa wale wanaofanya muziki?
Nyimbo nyingi za injili za sasa anaimbiwa shetani na sio Mungu hasa kwenye haya makanisa ya wanawake saba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…