Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii Tito wa mwenyekiti wa mtaa kupitia tiketi ya CCMNabii tito na Dr shika mbona wamesahaulika? Mwenzao Mariam Biriani anapika au anapakuliwa?
I am more comfortable with English in terms of vocabulary compared to Kiswahili! Kwangu Kiswahili ni lugha ngeni kama kilivyo kiingereza. Kuna mikoa kwetu TZ kama hujaenda shule huwezi kujua Kiswawhili, kama kilivyo Kiingereza kwa wote, wewe na mimi!Ya kwasababu ulinijibu kwa kingereza nilidhani kiswahili chako cha kuunga Unga..
Ukiona hivyo ujue kisu cha Roma kimegonga mfupaAiseee!!!
Povu lote hilo,tatizo ni nini?
Maana wapiga kura wengi wakulima wafanyabiasharaVipi korosho za mtwara
Hiyo verse amemdiss nani huyo anayebebwa bebwa???We kamatiaaa chini,
Mi nakamatiaaa ndinga,
Na ukikamatiaa mpini,
Si utakamatiaaa mimba.
Sio Nikk kweliHiyo verse amemdiss nani huyo anayebebwa bebwa???
Sijamnyaka.
Sio kosa lako ndio akili yako ilipoishia, we kutoa kauli hovyo.Acha uzwaza, fid q alikuwa zamani, ila toka aliponajisiwa na fisiemu hana lolote