Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nliandika hiv: typo disregard......nikimaanisha disregard typo errors as long as the msg is home and dry! yeye akasema sijui Kiswahili! ameniacha njia panda!Wenye lugha yao hawasemi, You don't know Kiswahili wanasema You can't Swahili.
A lot of sense!Msaani wa Rapper Bongo flavour Roma mkatoliki kaachia wimbo mpya.
Naomba uusikilize tupe mtazamo wako.
Fid q ashanajisiwa na fisiemu, namchukia kuliko nandyNamkubali Fid ila kwa Roma aiseeee jamaa anajua sana
Sisisemu ya watu timamu sio ya jiweHivi huyu si nilisikia amehamia sisiemu?
Au sio..Hiyo free basic ndio nn?? Nimeangalia kwenye huu uzi Sijaona link
fid q alikuwa zamani, ila toka aliponajisiwa na fisiemu hana loloteKwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.
Fid q wa zamani hana mpinzani, ila fid q wa fisiemu hakuna loloteFid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
Mbona hata freebasics unaweza kuonawatumiaji wa freebasics utawajua tu..
Vipi kwani mnataka kumuua?"Badae mtasema Hongera Roma, umekufa kiharakati"
Wenye lugha yao hawasemi, You don't know Kiswahili wanasema You can't Swahili.
Ya kwasababu ulinijibu kwa kingereza nilidhani kiswahili chako cha kuunga Unga..mimi nliandika hiv: typo disregard......nikimaanisha disregard typo errors as long as the msg is home and dry! yeye akasema sijui Kiswahili! ameniacha njia panda!