Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Hii ndo Tanzania... fuatilia huo wimbo wa Roma allimba enzi za Mkwere, laiti km angeimba enzi hizi angekuwa marehemu saivi. Nchi hii yetu site, tuvumiliane, na Roma hajaanza leo kuimba hizo nyimbo za aina hiyo
 
Jamani mwenye wimbo anitumie nimefeli kuupata
Ingia google search download roma - anaitwa roma,, zitakuja link fungua ya kwanza tu itakuletea sehemu ya download, (ninge share link hapa ila nahisi ni kama jf walishakataza ku share link)
 
Kasoma nyakati au wewe mleta uzi upo nje ya wakati.
 
Angeweza kuwasilisha huo ujumbe kwa namna nyiingine na ungefika,haya mambo ni hatari
 
Nchi ina watu mambo yasio na maana ndio hupendwa Tanzania yetu tunaijenga wenyewe kwa ujinga tunabomoa kwa upuuzi. Ukiharibu ama kuponda ndio unakuwa kamanda ama ukisema uogo hapo ndio shujaa tubadilike tuipende nchi yetu ukiona michadema inafurahia jambo ujuwe ni kubomoa. Mfano mijinga kibao michadema inanyonywa na limbowe lao hawaoni wabunge wanachangia hata ofisi hakuna uchanguzi ndani ya chama hakuna imekalia kulopokea mambo wasio yaweza kufanya.et wimbo
Chutama ....
 
Kuna jamaa humu ameleta uzi wa kumtisha mwanamuziki na mwanaharakati musiki R. Mkatoliki eti kwamba watamuonesha sasa sijui alitaka Roma aimbe wimbo gani sasa.

Mimi mbona nyimbo za Roma ni cha mtoto jaribu kumsikiliza na huyu anayejiita mzalendo ungeweza pata tofauti kati ya Roma na Mzalendo. Na mwisho kama unahisi kuusikiliza musiki wa Roma au Mzalendo unaumia moyo, ushauri wangu wa bure ni kwamba wewe uwe unaangalia tbc 1 huko ndiyo kuna zenye kufurahisha ila huku kwingine kuna kuelimisha, kuburudisha, kufundisha na kuonya pia.

Sasa sijui uta waonesha wangapi mkuu.
1. Mzalendo




2. Mzalendo




ROMA

 
Back
Top Bottom