magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Ingia jamiiforums.com utaiona mbona sisi tunaiona. Achana na freebasics kuna links hutaziona. Umeelewa?Sijauliza free basic nimeuliza nyimbo ujifunze kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia jamiiforums.com utaiona mbona sisi tunaiona. Achana na freebasics kuna links hutaziona. Umeelewa?Sijauliza free basic nimeuliza nyimbo ujifunze kuelewa
Kila mtu na mtazamo wake, Francesc Fabregas alikuwa mchezaji mzuri mnoo kwenye ubora wake lakini bado Xavi na Iniesta walikuwa mbele yake, xavi kuwa bora haimaanishi fabregas kuwa mbovu.Mistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
Wasanii wa fiesta na nyimbo zao huwa wanatoa msimu wa fiesta
Duuh hii nchi wasanii ni vituko.
Kila mtu na mtazamo wake.. Francesc fabregas alikuwa mchezaji mzuri mnoo kwenye ubora wake lakink bado xavi na iniesta walikuwa mbele yake, xavi kuwa bora haimaanishi fabregas kuwa mbovu.
Roma ni mwanahipop mkali ana ngoma kali, na mistari mikali, anajua jinsi ya kucheza na maneno, hakuna mtu atakaetokea na kukwambia roma ni msanii mbovu, ila ukweli ni kuwa super marioo fid q atabaki kuwa fid q.
Hiyo free basic ndio nn?? Nimeangalia kwenye huu uzi Sijaona linkIngia jamiiforums.com utaiona mbona sisi tunaiona. Achana na freebasics kuna links hutaziona. Umeelewa?
Kama dimondi alivotowa babalawo kwa musimu wa wasafi festivoWasanii wa fiesta na nyimbo zao huwa wanatoa msimu wa fiesta
Duuh hii nchi wasanii ni vituko.
Tena kafunguka wazi sanaHii ngoma ina muda mgupi sana kabla ya kufungiwa
Jamaa kafunguka sana
Nadiriki kusema Roma amethubutu sana. Kesho asubuhi Bashite anaweza akatoa tamkoDuhu kwao ni huko zimbabwe au hii Tanzania ya madreamliner ??? Kama ni Tz ametuwakilisha vyema...atleast mkuu atasikia kile kweli wananchi wanachokitaka nasio sifa za uongo na zakiuwoga za hao wateule wake
Huyo mtu ni nani? Mbona kama kokoto la Lucas MkendaNasikia jimbo la ubungo kuna mtu amelipania
Jamaa kweli anaitwa Roma,,,ngoja haichoshi kuisikilizaRoma Mkatoliki ni ameamua kujilipua ama? Binafsi sijamuelewa au labda amepewa go ahead na system.
Wimbo mzima ukiusikiliza kwa umakini ni kama ameamua kumnanga "prince".
Pale anaposema "mjibuni mmemzaa Mpare ila siwachukii Wasukuma."
Naendelea kuamini, aidha Roma ameamua potelea mbali liwalo na liwe ama amepewa kinga na wasiojulikana.
Roma Mkatoliki is one of the most underrated artist in the countryMistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
RC wa Lipuli na RC wa Mzizima"Viongozi hawana maarifa na hawataki wakosolewe wanafanya kazi kwa sifa"
Youtube mkuuHuo wimbo upo wapi?
Hii ngoma wakiifungia ila ujumbe umefika,,,ndege na bima ya afya .,.Roma mkatoliki yule wa kuimba taarifa ya habari amerudi, kwa jinsi BASATA walivyo na ROHO MBAYA huu wimbo hauchukui round wanaunyakua!
*mnapiga bomu mochwari halafu mnajisifu mmeua??
Roma new song - ANAITWA ROMA
Ameamua kuvunja ukimya, sidhani kama kuna kununuliwa hapo. Tumuombee maana...Roma Mkatoliki ni ameamua kujilipua ama? Binafsi sijamuelewa au labda amepewa go ahead na system.
Wimbo mzima ukiusikiliza kwa umakini ni kama ameamua kumnanga "prince".
Pale anaposema "mjibuni mmemzaa Mpare ila siwachukii Wasukuma."
Naendelea kuamini, aidha Roma ameamua potelea mbali liwalo na liwe ama amepewa kinga na wasiojulikana.
Jasiri haachi asili.Jasiri haachi jasiri
Ngoja Nimcheck youtubeYoutube mkuu
Kwani kuna tatizo?Wasanii wa fiesta na nyimbo zao huwa wanatoa msimu wa fiesta
Duuh hii nchi wasanii ni vituko.