Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Mistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
Kila mtu na mtazamo wake, Francesc Fabregas alikuwa mchezaji mzuri mnoo kwenye ubora wake lakini bado Xavi na Iniesta walikuwa mbele yake, xavi kuwa bora haimaanishi fabregas kuwa mbovu.

Roma ni mwanahipop mkali ana ngoma kali, na mistari mikali, anajua jinsi ya kucheza na maneno, hakuna mtu atakaetokea na kukwambia roma ni msanii mbovu, ila ukweli ni kuwa super marioo Fid Q atabaki kuwa Fid Q.
 
Namkubali Fid ila kwa Roma aiseeee jamaa anajua sana
Kila mtu na mtazamo wake.. Francesc fabregas alikuwa mchezaji mzuri mnoo kwenye ubora wake lakink bado xavi na iniesta walikuwa mbele yake, xavi kuwa bora haimaanishi fabregas kuwa mbovu.

Roma ni mwanahipop mkali ana ngoma kali, na mistari mikali, anajua jinsi ya kucheza na maneno, hakuna mtu atakaetokea na kukwambia roma ni msanii mbovu, ila ukweli ni kuwa super marioo fid q atabaki kuwa fid q.
 
Duhu kwao ni huko zimbabwe au hii Tanzania ya madreamliner ??? Kama ni Tz ametuwakilisha vyema...atleast mkuu atasikia kile kweli wananchi wanachokitaka nasio sifa za uongo na zakiuwoga za hao wateule wake
Nadiriki kusema Roma amethubutu sana. Kesho asubuhi Bashite anaweza akatoa tamko
 
Roma Mkatoliki ni ameamua kujilipua ama? Binafsi sijamuelewa au labda amepewa go ahead na system.

Wimbo mzima ukiusikiliza kwa umakini ni kama ameamua kumnanga "prince".

Pale anaposema "mjibuni mmemzaa Mpare ila siwachukii Wasukuma."

Naendelea kuamini, aidha Roma ameamua potelea mbali liwalo na liwe ama amepewa kinga na wasiojulikana.
Jamaa kweli anaitwa Roma,,,ngoja haichoshi kuisikiliza
 
Roma Mkatoliki ni ameamua kujilipua ama? Binafsi sijamuelewa au labda amepewa go ahead na system.

Wimbo mzima ukiusikiliza kwa umakini ni kama ameamua kumnanga "prince".

Pale anaposema "mjibuni mmemzaa Mpare ila siwachukii Wasukuma."

Naendelea kuamini, aidha Roma ameamua potelea mbali liwalo na liwe ama amepewa kinga na wasiojulikana.
Ameamua kuvunja ukimya, sidhani kama kuna kununuliwa hapo. Tumuombee maana...
 
Back
Top Bottom