koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
Fid wa siku hizi sio Fid wa siku hizoFid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fid wa siku hizi sio Fid wa siku hizoFid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
TumeuelewaWimbo wa hovyo wa mwaka. Hata haueleweki.
Utakuwa miongoni mwao wewe,Wimbo wa hovyo wa mwaka. Hata haueleweki.
utabaki hvohvoWimbo wa hovyo wa mwaka. Hata haueleweki.
Kama ni hivyo basi hata hii mada isingetakiwa kuwepo maana tungeenda tu YouTube.Nenda youtube mkuu, type tu Roma.
Kwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.
Kang'ata na Kupuliza.Tena kafunguka wazi sana
Roma Mkatoliki amerudi upya jamani.
Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma".
Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua.
Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema;
"Kwetu bima ya afya ni bora kuliko ndege"
Duh!! Haya.Roma ni shida nyingine mzee roma anajua kucheza na meneno zaidi ya fid, sema fid alianza zamani zaidi ya roma ilo hatukatai ila ROMA kimuziki usimfananishe na uyo jamaa
Jamaa kweli anaitwa Roma,,,ngoja haichoshi kuisikiliza
Ni balaa tupu ila mtu atataka tubishane fid.com bonge 1 ya ngoma.Fid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo