Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi tangu saa mbili za jioni mpaka muda huu nipo nausikilizaNipo kwa earphone hapa mara kama ya 50 hivi naisikiliza tu
FactHii ngoma inaenda kuzifunika mshumaa na Baba lao...labda ifungiwe
Hakika nimeshindwa kujizuia usiku huu kuwaletea wimbo huu wa Roma Mkatoliki ambao kwa maoni yangu hakuna kwa sasa wimbo uliojaa hamasa za Kisiasa katika wakati huu mgumu wa siasa za kishamba.
Ndani ya mashairi yake amefunguka kisanii kumtaja mtekaji wake na mambo mengi ya hovyo ya utawala huu.
Tuusikilize na kuuchambua mstari baada ya mstari.
Natamani colabo ya Roma,Stamina na Sugu na Prof J siku moja.
Viziwi hawasikii .Wimbo wa hovyo wa mwaka. Hata haueleweki.
Kaimba "WIMBO WA TAIFA" huu. Ila kesho asubuhi na mapema utapigwa marufuku, tena watatangaza ukikutwa nao hata kwenye simu unakula "KESI YA UHUJUMU UCHUMI" au "KESI YA UHAINI" dadeki.Mungu mbariki Roma
Hivi kanuni za BMT zinasemaje kama wimbo wao hawautaki na umerekodiwa nje ya nchi na tayari umetoka katika mitandao ya nje?Huyu ndiye Roma nimjuaye miye.Sema naye mjanja huu wimbo angeutoa wakati yuko Bongo saivi angekua mikononi mwa wasiojulikana.Naona kawapa 'dole la kati' walilosahau kulivunja.