Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #41
Nashindwa kuuploadUngeuweka hapa ingependeza sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kuuploadUngeuweka hapa ingependeza sana.
TayriNashindwa kuupload
Shukran bossAmeanza kusahau
Hata mimi sisemi roma mbovu, ni kati ya wanahip hop wakali hapa tz ninaowakubali mimi.Namkubali Fid ila kwa Roma aiseeee jamaa anajua sana
Shukran bossAmeanza kusahau
Pamoja mkuuTayri
Nenda youtube mkuu, type tu Roma.Ungeuweka hapa ingependeza sana.
Kwani hajawahi kuimba nyimbo za Aina hiyo ?Roma Mkatoliki ni ameamua kujilipua ama? Binafsi sijamuelewa au labda amepewa go ahead na system.
Wimbo mzima ukiusikiliza kwa umakini ni kama ameamua kumnanga "prince".
Pale anaposema "mjibuni mmemzaa Mpare ila siwachukii Wasukuma."
Naendelea kuamini, aidha Roma ameamua potelea mbali liwalo na liwe ama amepewa kinga na wasiojulikana.
"Hawaamini kuwa na kiba au diamond WAWILI, wanachotaka nikumshusha mmoja na mwingine awe DILI"Kila mtu na mtazamo wake.. Francesc fabregas alikuwa mchezaji mzuri mnoo kwenye ubora wake lakink bado xavi na iniesta walikuwa mbele yake, xavi kuwa bora haimaanishi fabregas kuwa mbovu.
Roma ni mwanahipop mkali ana ngoma kali, na mistari mikali, anajua jinsi ya kucheza na maneno, hakuna mtu atakaetokea na kukwambia roma ni msanii mbovu, ila ukweli ni kuwa super marioo fid q atabaki kuwa fid q.
Aliimba enzi za JK. Sasa hivi tupo utawala wa awamu ya burigi. Ukizingua unatekwa.Kwani hajawahi kuimba nyimbo za Aina hiyo ?
"Albino wa Moroco" anamaanisha nini......ni nani huyo?Roma Mkatoliki amerudi upya jamani.
Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma".
Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua.
Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema;
"Kwetu bima ya afya ni bora kuliko ndege"
Hio 'babalawo'?? sijaisikia,na hata kama katoa tamasha ni lake.Kama dimondi alivotowa babalawo kwa musimu wa wasafi festivo
mtasahau tu kuhusu sekeseke la "nanhii" za mtaa la juz'kati......hata kwa lazima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544]We kamatiaaa chini,
Mi nakamatiaaa ndinga,
Na ukikamatiaa mpini,
Si utakamatiaaa mimba.
Fid q.comKwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.