Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Mistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
Na huyu je
IMG_20191115_143254.jpeg
 
"Hawaamini kuwa na kiba au diamond WAWILI, wanachotaka nikumshusha mmoja na mwingine awe DILI"


Mkuu wabongo ndivyo walivyo, ni roho mbaya zimewajaa. Kwani hatuwezi kutambua ubora wa watu bila kutaka mmoja awe chini ya mwingine.

Kuna watu sijui wakoje.
Kweli mkuu, Tz ina idadi kubwa sana ya raia wa ajabu yaani ni unafiki tu.
 
Kwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.
Sawa mkuu
 
Ni mstari au verse ipi imekukuna vilivyo kwenye wimbo wa Roma? Weka punch line yako.
 
Binafsi nnavyowaza, wimbo huu, umekuja, kwa 7bu maalumu, ya kutupotea, agenda/mawazo juu ya, uchaguzi wa serikali za mitaa, badala, yake mda si mrefu tuta anza kusikia ngonjera za Roma na makonda,Mara kapotea, Mara kakamatwa, hadi kuja kufumbuka, mwezi December, this is Tanzania ya kick za mtandaoni,
 
Back
Top Bottom