Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Fid q huwa sielewi anachoimbaMistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fid q huwa sielewi anachoimbaMistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
Na huyu jeMistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
Kwanini ifungiwe mkuu? Mbona hajatukana?Hii ngoma ina muda mfupi sana kabla ya kufungiwa
Jamaa kafunguka sana
Ngoma ya roma n Jose mtambo ushasikia kma bdo nenda YouTube Roma baba laoFid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
Kweli mkuu, Tz ina idadi kubwa sana ya raia wa ajabu yaani ni unafiki tu."Hawaamini kuwa na kiba au diamond WAWILI, wanachotaka nikumshusha mmoja na mwingine awe DILI"
Mkuu wabongo ndivyo walivyo, ni roho mbaya zimewajaa. Kwani hatuwezi kutambua ubora wa watu bila kutaka mmoja awe chini ya mwingine.
Kuna watu sijui wakoje.
Sasa unaogopa nini?Mojawapo kati ya haya labda ndio jibu, nimeisikiliza naogopa mimi sana
Sawa mkuuKwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.
Fid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
Duhhh....!!
Na hajasema alicho fanyiwa..??
Upi bora kiongozi?Wimbo wa hovyo wa mwaka. Hata haueleweki.
Wakimteka sasa hivi harudi
Na sadaka halali ni ile utaitoa kwa uchungu,Mbona unaleta Mambo ya wanamuziki jukwaa la siasa
Huu ni utoto
Na sadaka halali ni ile utaitoa kwa uchungu,
Tafuta pesa wee, saivi urijali sio ukubwa wa rungu.............
Ukinuna natuma nyingine
Yaani sijui mlikwama wapi,We huna hoja nimeamua nikupuuze Sasa