bichwa mtoto
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 274
- 563
Kinacho tuponza ni Ku overlook mambo huu wimbo haukuitaji majibu ya waziri ya majigambo ya degree 4 au andiko kama hili hakuna chochote kibaya kilicho semwa jibu lake lingebaki kimya nakuaidi usinge dumu siku tatu kwa wapinzani wimbo huu wangepotea nao hawa watu hawanaga ajenda za kudumu kwa kuendelea kuuzungumzia wimbo ndio tunazidi kuwapa air time ya kuendelea kutrend