Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Kinacho tuponza ni Ku overlook mambo huu wimbo haukuitaji majibu ya waziri ya majigambo ya degree 4 au andiko kama hili hakuna chochote kibaya kilicho semwa jibu lake lingebaki kimya nakuaidi usinge dumu siku tatu kwa wapinzani wimbo huu wangepotea nao hawa watu hawanaga ajenda za kudumu kwa kuendelea kuuzungumzia wimbo ndio tunazidi kuwapa air time ya kuendelea kutrend
 
Daud1990,
Kwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.
Roma umaarufu wake umechangiwa sana na nyimbo zake za kiharakati za kisiasa tofauti kabisa na fid Q.Kwangu mimi roma atabaki kuwa bora sana kutokana na uthubutu wake na kubeba mzigo wa kuwaongelea watu kupitia mziki wake kitu ambacho wasanii wengi wanaogopa., tena kwa aliyopitia na bado kavunja ukimya..Mungu amlinde.
 
Sawa mkuu, mie naheshimu mawazo yako ndugu yangu, madhari umesema ni kwako wewe roma atabaki kuwa juu,sawa chief.
atabaki juuu zaidi sio kwamba fid sio mkali ni mtata ila kwa roma level zingine ile mathematics ile bwana ukija na hii ya kuwavuruga lumumba fc mara aliyoimba na jose mtambo kwa kweli huyu kijana anafaa kualikwa ikulu apongozwe
 
atabaki juuu zaidi sio kwamba fid sio mkali ni mtata ila kwa roma level zingine ile mathematics ile bwana ukija na hii ya kuwavuruga lumumba fc mara aliyoimba na jose mtambo kwa kweli huyu kijana anafaa kualikwa ikulu apongozwe
Haya sawa..

Nani wa kumuita ikulu mr mapadlock!!
We unafanya masihara na Juma Maharage Padlocks nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anapenda kupambwa tu.. Ndio kidogo atakufikiria kukukaribisha kukaya kwake.
 
Mistari ya Roma haichoshi kusikiliza..nashangaa sana watu wanaomsifu supa marioo Fid Q na kumshusha huyu jamaa
ROMA ana fanya miziki ya kiharakati, NGOSHA anafanya miziki ya kupanua fikra.

Ni aina tofauti ya michakato yao. Tusiwalinganishe.
 
Mbona kila Uzi unaohusiana na wasanii lazima azungumziwe diamond? Mwacheni basi apumzike, ana mambo mengi ya kufanya
Yaani wewe uliyeishia darasa la nne S unanirekebisha mimi mwenye Degree 5 na kufundisha vyuo mbalimbali hapa Bagamoyo
 
Mkuu mimi situmii free basic na kwenye huu uzi hawakuweka hiyo nyimbo
Mkuu ni wimbo sio nyimbo maana unazungumziwa mmoja tuu kama una bando andika jina la wimbo na la maanii kisha mp3 zitakuja link za kutoaha kisha utaupakuà ila mimi sina bando Leo ningeuweka humu
 
Back
Top Bottom