Anakorogea uji wa vitumbua na mkono wa mtoto aliyekufa

Kuna kona moja ya mtaa mmoja pale Kariakoo enzi hizo akina mama walikuwa wanajipanga kuuza vitafunwa vya kila aina,akaja yule aliyekuwa Mbunge Akiitwa Maji Mafupi,alikuwa amefikia hotel moja karibu na Jangwani, akatangaza wale wamama wengi ni wachawi na pale wote wapo Uchi!.ghafra biashara za wamama zikaanza kudoda, Maji Mafupi alikuwa maarufu sana enzi hizo hotel aliyokuwa anafikia ilikuwa inafurika watu kutibiwa...
 
Robert hujawahi oa mwanamke anakulaza na fisi halafu yeye anaenda kuwanga hadi usiku mwingi anarudi!!?

ilimtokea mjomba hii na baby akasanuka siku ya arobaini ya mwizi ilipofika tu kasheshe kitaa Binge la fisi lenye heleni lilitoka ndani wakati mke wake akiwa uchi wa mnyama hadharani saa nne asubuhi!!!

maisha hayo!!
 
Haya mambo yapo kitambo sana. Kuna wauza pombe za kienyeji nao wana mauzauza ya kusadikika kuwa baadhi ya vyombo vyao ni mafuvu ya wafu, kwa mama lishe nako hawaaminiki, inasemwa nao hukaa uchi wakati wanapika ili vyakula vyao viwe vitamu, utamu kama ile kitu iliyotengwa wazi. Ukiwahoji wengi hukiri kwenda kwa waganga kunuwiziwa wafanikiwe kuliteka soko la vyakula vyao. Wapo wanaodai waganga hutaka 'kuwaonjea mpiko' kwanza ndio wawahudumie. Wapo wanaoshindwa masharti na kutoroka kwa waganga, ndio hawa wanaotoa siri za huko walikokwenda kutafuta 'dawa'
 
Yah,
Sema ubaya, imani kama hizi huwa zinachukua mda kupotea, mpaka sasa bado kuna kundi kubwa la watu linaamini
Hata wazungu kuna karne walikua wanawa choma wenzao moto kwa imani hizi hizi za uchawi, mpaka baadae walipo elimika wakaacha

Huwa ni ujinga na kukosa critical thinking
 
Serikali ilikuwa imejaa wajinga wengi sana. Na bado wengine wapo. Na haya mambo huko vijijini bado yapo. Serikali ikizuia "miwananchi" inaandamana eti manyaunyau aachwe afanye kazi yake.
 

99% mambo hayo ni Fix Mkuu.
Ingawaje sijasema hayapo,

Sisi waigizaji na waandaaji WA hayo matukio ndio tunawaambia. Ni matukio ya kutengeneza tuu
 
Hv wazungu na wao Wana Hz mambo , kiukwel haya mambo Kwa Africa yapo Sana , yaani tunapeana huduma katika mazingira ya kisenge Sana , sio Tu mkono wa mtoto wengine wanaloweka chupi kwenye maji ya kupikia au kukandia ngano Kwa kutumia matako ...daah mazingira yetu ni hatarishi Sana haya mambo hapo live live , ukianza kufanya biashara utaona watu wanakufata kabisa wanakueleza Mzee tengeneza kamati ( kuroga )
 

Ni Uongo Mkubwa uliokubalika
 
Bahati mbaya kuna wanaoamini ujinga hivyo wanalisha wenzao uchafu kweli kwamba biashara itakuwa nzuri.

Kuna mjinga mmoja alienda kuchanjwa chale akafungua bucha. Miezi miwili akafunga maana akipata pesa kidogo full showoff.
 

Tatizo ni kuwa hvyo vitu ni Stori tuu za kubuni kama zile ninazotungaga
 

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Tatizo ni kuwa hvyo vitu ni Stori tuu za kubuni kama zile ninazotungaga
Haya mambo yapo Mzee wala sio story mi niliamin hayapo Ila nimeshuhudia yapo , sema Mimi siamini katika huo mlengo , Ila nakubali yapo na watu wanafanya
 
Haya mambo yapo Mzee wala sio story mi niliamin hayapo Ila nimeshuhudia yapo , sema Mimi siamini katika huo mlengo , Ila nakubali yapo na watu wanafanya

Nakuambia hivi hiyo ni Michezo ya kuigiza tuu. Hakuna kitu kama hicho.
Kulikuwa na Mzee mmoja alikuwa Baba WA Rafiki yangu, yeye alikuwa mganga na Gwiji wa Uchawi. Yeye mwenyewe anakiri kuwa hiyo ni Michezo ya kuigiza, mazingaombwe.

Ni Sawa na ishu ya msukule au kuzika mgomba, ni Uongo WA Hali ya juu ambao Watu waliamini kuukubali
 
Maji marefu hakuwa lolote zaidi ya utapeli uliopindukia..alipeleka gari yake anayoipenda kwa fundi fulani maeneo fulani..
Yule fundi alimbadlishia spea zote nzima akamuekea feki na gari haikutembea na maji marefu alikuja na kuanza kupigana ngumi na yule jamaa!!akapigwa akaona aibu akaondoka hata polisi hakwenda.na yule jamaa yupo hadi sasa hivi na gerej yake amezeeka tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ