Anakorogea uji wa vitumbua na mkono wa mtoto aliyekufa

Anakorogea uji wa vitumbua na mkono wa mtoto aliyekufa

Walikuja lambalamba kijijini kwetu 2001,piga manyanga mpaka msikitini wakatoa mapembe 2,walivyo wahuni walikuwa wanasali humo humo kabla hawajatoa[emoji23][emoji23][emoji23],hapa nikaanza kuhisi kekundu.

Ada yao ilikuwa wakifika kwako unawapa 1100,kisha unasubiri kudhaliliswa[emoji28],nilikuwa kijana mdogo kiasi kushtuka utapeli ule lakini walezi wangu walikataa kulipa 1100 wakisema kama vipi waingie humo ndani kama nia yao ni kutoa uchawi,wakakataa mpaka wapewe 1100[emoji23][emoji23]
 
Maji marefu hakuwa lolote zaidi ya utapeli uliopindukia..alipeleka gari yake anayoipenda kwa fundi fulani maeneo fulani..
Yule fundi alimbadlishia spea zote nzima akamuekea feki na gari haikutembea na maji marefu alikuja na kuanza kupigana ngumi na yule jamaa!!akapigwa akaona aibu akaondoka hata polisi hakwenda.na yule jamaa yupo hadi sasa hivi na gerej yake amezeeka tuu.

Zamani ukiweza kuigiza Kwa vitisho vya Uchawi ulikuwa unaogopwa na kuheshimiwa.
Ni kama hawa manyaunyau wachungaji wa upako
 
Walikuja lambalamba kijijini kwetu 2001,piga manyanga mpaka msikitini wakatoa mapembe 2,walivyo wahuni walikuwa wanasali humo humo kabla hawajatoa[emoji23][emoji23][emoji23],hapa nikaanza kuhusu kekundu.

Ada yao ilikuwa wakifika kwako unawapa 1100,kisha unasubiri kudhaliliswa[emoji28],nilikuwa kijana mdogo kiasi kushtuka utapeli ule lakini walezi wangu walikataa kulipa 1100 wakisema kama vipi waingie humo ndani kama nia yao ni kutoa uchawi,wakakataa mpaka wapewe 1100[emoji23][emoji23]

😂😂😂

Wanaweka pembe au vile vidude vya konokono alafu ndio wanaita Uchawi 😂😂. Kuna Watu ni wajinga Sana.

Wanawapumbaza wakiwa wanaimba nyimbo zao huku wakihakikisha mme- concentrate, hapo wanachomeka pembe au Hirizi au namna yoyote inayoashiria Uchawi kulingana na fikra za Watu wa enzi zile.

Ilikuwa unalipia Pesa uaguliwe, au unakuta MTU anayekuchukia anaenda kuwahonga Pesa wakishirikiana na serikali za mitaa za Wakati huo. Kufikia hapo umekwisha!

Wakija wanapata preliminary Data za Watu wote wanaoshukiwa ni wachawi katika kijijini kwenu, kisha wanajifanya wanawatoa Uchawi 😂😂
 
Ujinga kama huu serikali ilikuwa inauruhusu tu.

Waganga wanapita nyumba kwa nyumba watu nyomi wanawafata nyuma eti unakuja kutolewa vitu.

Ukiwa hauna pesa za kuwapa waganga watu wanakuchangia(ili uaibike)

Binafsi nilikuwa nashangaa sana kivipi serikali inaruhusu watu kudhalilishana na kushushiana utu.
Tz bila utii wa sheria si ya zama hizi tu, ni tangu kitambo kumbe. WaTz roho mbaya sana!
 
Ujinga kama huu serikali ilikuwa inauruhusu tu.

Waganga wanapita nyumba kwa nyumba watu nyomi wanawafata nyuma eti unakuja kutolewa vitu.

Ukiwa hauna pesa za kuwapa waganga watu wanakuchangia(ili uaibike)

Binafsi nilikuwa nashangaa sana kivipi serikali inaruhusu watu kudhalilishana na kushushiana utu.
Dah umenikumbusha enzi hizo!
 
Walikuja lambalamba kijijini kwetu 2001,piga manyanga mpaka msikitini wakatoa mapembe 2,walivyo wahuni walikuwa wanasali humo humo kabla hawajatoa[emoji23][emoji23][emoji23],hapa nikaanza kuhusu kekundu.

Ada yao ilikuwa wakifika kwako unawapa 1100,kisha unasubiri kudhaliliswa[emoji28],nilikuwa kijana mdogo kiasi kushtuka utapeli ule lakini walezi wangu walikataa kulipa 1100 wakisema kama vipi waingie humo ndani kama nia yao ni kutoa uchawi,wakakataa mpaka wapewe 1100[emoji23][emoji23]
Huku Pwani hiyo pesa ungechangiwa na watu ili mtolewe vitu muaibike.

Jamaa awakosi cha kutoa.

Kama ujatolewa kibuyu basi pembe la ng'ombe au hirizi.

Yani ujinga ujinga tu.
 
Maji marefu hakuwa lolote zaidi ya utapeli uliopindukia..alipeleka gari yake anayoipenda kwa fundi fulani maeneo fulani..
Yule fundi alimbadlishia spea zote nzima akamuekea feki na gari haikutembea na maji marefu alikuja na kuanza kupigana ngumi na yule jamaa!!akapigwa akaona aibu akaondoka hata polisi hakwenda.na yule jamaa yupo hadi sasa hivi na gerej yake amezeeka tuu.
Jamaa alikuwa ni mtu wa mikwara hatari.
 
Unauza Karanga alafu kuna mjinga mmoja kijiweni anasema unauza mavi ya mbuzi alafu wakibisha anatafutwa mganga, wengi WA waganga ni wahuni, matapeli na wakupangwa, anakuja anathibitisha kweli zile Karanga ni mavi ya mbuzi. Kwa kufanya Michezo Yao ya kiini macho
Ilishatokea lilipokuwa duka letu mjini hpa picha linaanza raia wanatutuhumu ushirikina, siwakachangishna wakamleta manyaunyau, raia ka ote.
Picha linaanza manyaunyau ana paka akaomba apewe unga na kisu raia hao dukani tupimie unga nikawajibu tu hatuwezi kutoa unga kwajili ya ushirikina, raia yoweee...... leo huku wanakazia Leo! lzma mnase tu ukaenda kutafutwa unga na kisu wakaleta unaambiwa acha manyaunyau apige mkwara wa hja mwisho akuteletea kiini macho kumng'ta pka shngoni na kuzuga kumnyonya damu mar ooh eti hpa pazito twendeni kwanza
 
Kama ukila hivyo vyakula na hupati madhara basi ni salama.

Wakati naishi Mabibo hostel kuna mgahawa nilikuwa naenda kupata chakula, baadaye nikaja kusikia eti wanatumia maji ya hedhi kupikia chakula Chao kitamu.

Lakini sikujali wala nini, maana sikuwahi kupata shida yeyote ya tumbo wala nini? 😆

Mara nyingi huwa ni Fitina za washidani wa Kibiashara
Mengine ni uongo na mengine ni ukweli, waswahili wanasema lisemwalo lipo, nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kweli wapo ambao wanafanya biashara za vyakula, wanatumia uchawi wa kuweka vitu vichafu kwenye chakula, ili kuvuta wateja, hata sokoni nyama za buchani nyingi si halisi Robert Heriel Mtibeli Grahams
 
Mengine ni uongo na mengine ni ukweli, waswahili wanasema lisemwalo lipo, nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kweli wapo ambao wanafanya biashara za vyakula, wanatumia uchawi wa kuweka vitu vichafu kwenye chakula, ili kuvuta wateja, hata sokoni nyama za buchani nyingi si halisi Robert Heriel Mtibeli Grahams
Kumbe tunakula vingi vichafu 🙌🙆
 
Kumbe tunakula vingi vichafu 🙌🙆
Cocacola yenyewe asili yake ni kuzimu, nia ya shetani ni kwamba akilisha wanadamu ivo vitu vichafu,watu watakua wagumu kumpokea Yesu, na wakristo wa kweli wrudi dhambini wasimtumikie Mungu ipasavyo, kuharibu mwili kidogo kidogo na kuleta magonjwa k v kisukari, kensa, kuwalisha watu damu za watu bila kujua ivo kuwatendesha dhambi watu bila watu wenyewe kujua Grahams
 
Kama una biashara kubwa lazima uundiwe zengwe na masikini au washindani wako.

Walikuja watu wa kujiita lambalamba mtaani kwetu, wale jamaa walikua wanakula bia bure, wanakula wake za watu hadharani, wanakula madem hovyo.
Kama kawaida wanawake wanavyopenda kutumia hisia, wao ndio waliwafinance sana hao watu.
Zilichangishwa pesa kila duka, kila nyumba eti hao walozi wafanye ulozi.

Wale jamaa walikua waongo wa waziwazi, ajabu watu sijui salipigwa upofu hata hawaoni aisee.
 
Cocacola yenyewe asili yake ni kuzimu, nia ya shetani ni kwamba akilisha wanadamu ivo vitu vichafu,watu watakua wagumu kumpokea Yesu, na wakristo wa kweli wrudi dhambini wasimtumikie Mungu ipasavyo, kuharibu mwili kidogo kidogo na kuleta magonjwa k v kisukari, kensa, kuwalisha watu damu za watu bila kujua ivo kuwatendesha dhambi watu bila watu wenyewe kujua Grahams
Kwahiyo kinywaji gani kinafaa kumpatia Mchungaji akija kunitembelea.

Nimekuwa nikitembelewa na Pastors zangu mara kwa mara na huwa tunawaandalia kinywaji jamii hiyo na Pepsi 🙌
 
Back
Top Bottom