Analysis ya body language: Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga

Aaah wapi. Hana mapenzi yoyote yale. Zaidi tu anatamani sana atufunge ili aongee na kutugambia. Anapaniaga sana mwishowe anagongwa. Siku akatufunga itakua taabu sana
 
Mechi imeisha YANGA 3___AZAM2 FEI TOTO anatabasam tu na washikaji wake kina AUCHO kama vile yeye hayo matokeo hayamhusu. DOGO alijichanganya sana kuhusu like sakata lake na INJINIA.
Wazenji wana kibri sana aisee. Sana sana sana. Ma fei alikia akijazwa ujinga na watu wasiojua hata sheria za mpira
 
Aaah wapi. Hana mapenzi yoyote yale. Zaidi tu anatamani sana atufunge ili aongee na kutugambia. Anapaniaga sana mwishowe anagongwa. Siku akatufunga itakua taabu sana
Tatizo ni kwamba watanzania wengi hatujui kusoma body language
 
LIKUD unaona sasa Promo yangu imeufikisha huu Uzi wako uliokuwa UNAKUDODEA Ukurasa wa Pili sasa. Hongera ila nasubiria UNISHUKURU kwani kuonekana kwa hii ID yangu ya GENTAMYCINE kumewaita Wengi na watakuja Wengi kwakuwa mwenye NYOTA YAKE KALI hapa JamiiForums nimeuchangia na Kuunogesha.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
😀😂😀😂
 
Feisal anaipenda Yanga mpaka kesho kikwazo chake ni Hersi tu.
 
[emoji23][emoji23] wewe jamaa umeshindikana
 
Halafu ameiga uzi wako wa jana kuhusu unafiki wa Fei 😆😆
 
Tanzania Hakuna kazi rahisi kama uchambuzi.
Kuna Wachambuzi weupe, weusi wekundu, kijani na blue.
Kuna Wachambuzi walevi, wavutaji, walambaji na wabwiaji.
Feisal Jana ndiyo siku pekee tangu atoke Yanga kacheza Kwa angalau 70% ya uwezo wake. Moja Kati ya vitu anavyoviota Feisal ni kuifunga Yanga ili waonekane walikosea lakini bado bahati haijawa upande wake. Yuko tayari asiifunge Simba maana haitakuwa habari kama kuifunga Yanga. Magoli aliyokosa hayakuwa Wazi kama waliyokosa Max na Pacome, hao nao walijikosesha ili iweje?
Tabia ya kichonganisha watu ni uchawi. Hiki unachojatibu kufanya hapa ni ushirikina.
 
Mechi imeisha YANGA 3___AZAM2 FEI TOTO anatabasam tu na washikaji wake kina AUCHO kama vile yeye hayo matokeo hayamhusu. DOGO alijichanganya sana kuhusu like sakata lake na INJINIA.
Kwa hiyo mlitaka Feisal amninie Aucho Mtu aliyekuwa rafiki yake No.2 baada ya Mayele? Mnaloga mchana nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…