kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeJana kuna mbumbumbu FC kadhaa wakati wa kuangalia mechi, walikuwa wanaropoka, msituumizie mchezaji wetu wa mwakani..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeJana kuna mbumbumbu FC kadhaa wakati wa kuangalia mechi, walikuwa wanaropoka, msituumizie mchezaji wetu wa mwakani..!!
Wazenji wana kibri sana aisee. Sana sana sana. Ma fei alikia akijazwa ujinga na watu wasiojua hata sheria za mpiraMechi imeisha YANGA 3___AZAM2 FEI TOTO anatabasam tu na washikaji wake kina AUCHO kama vile yeye hayo matokeo hayamhusu. DOGO alijichanganya sana kuhusu like sakata lake na INJINIA.
😀😂😀😂Leo na Wewe umeanzisha Uzi JamiiForums? Nahisi uwepo wa Mvua Kubwa nchini.
Jamani msiache Kuuchangia huu Uzi ili usije Ukamdodea bure na akajiona hathaminiwi nanyi.
Haya LIKUD nimeshakupigia Promo huu Uzi wako na Watu wakishaona tu hii ID yangu ya GENTAMYCINE imechangia watafurika hivyo usiache tu Kunishukuru na Kunipongeza sawa?
Watu tuna Nyota zetu Kali sana duniani.
Na kuna wakati kwenye ile faulo, alishika mpira huku akipiga stori na Aucho kwa tabasamu mwanana..!! Yule bado wetu, MAKOLO ndo wamemlostisha..!!
Kwani Sopu alipatwa na nini? Mbona alikuwa hatembei kama kawaida yakeUr a poor judge of character.
Ova!
Hirizi nyingi alizokuwa nazo Mwilini zilimzidi nguvu. Huyo Dogo anaogopwa kwa Uchawi tokea akiwa Simba B.Kwani Sopu alipatwa na nini? Mbona alikuwa hatembei kama kawaida yake
Feisal anaipenda Yanga mpaka kesho kikwazo chake ni Hersi tu.Once mwananchi always mwananchi. Huyu dogo Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga. Mechi ya jana amecheza kinazi. Amecheza chini ya kiwango chake. Kuna baadhi ya mashuti alikuwa anajipigisha fyongo ili mradi asilete madhara kwenye klabu yake hiyo ya Zamani.
kwa watu wanao jua kusoma body language/ body gestures ( body movement) za mtu na ambao walimtazama Feisal kwenye mechi ya jana, wanaweza kukubaliana nami pasi na shaka yoyote ile kwamba Feisal bado ana mapenzi makubwa na Yanga.
# usikute jana dogo alienda kushangilia chooni
Kama Haji anavyoshangilia Yanga ikikandwa.# usikute jana dogo alienda kushangilia chooni
So Azam wao hawataki ubingwa?Kuna bosi pale azam ni mwananchi,huwa anatoa maelekezo kwa wachezaji vilaza kama feisal wasikamie
[emoji23][emoji23] wewe jamaa umeshindikanaLIKUD unaona sasa Promo yangu imeufikisha huu Uzi wako uliokuwa UNAKUDODEA Ukurasa wa Pili sasa. Hongera ila nasubiria UNISHUKURU kwani kuonekana kwa hii ID yangu ya GENTAMYCINE kumewaita Wengi na watakuja Wengi kwakuwa mwenye NYOTA YAKE KALI hapa JamiiForums nimeuchangia na Kuunogesha.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Halafu ameiga uzi wako wa jana kuhusu unafiki wa Fei 😆😆Leo na Wewe umeanzisha Uzi JamiiForums? Nahisi uwepo wa Mvua Kubwa nchini.
Jamani msiache Kuuchangia huu Uzi ili usije Ukamdodea bure na akajiona hathaminiwi nanyi.
Haya LIKUD nimeshakupigia Promo huu Uzi wako na Watu wakishaona tu hii ID yangu ya GENTAMYCINE imechangia watafurika hivyo usiache tu Kunishukuru na Kunipongeza sawa?
Watu tuna Nyota zetu Kali sana duniani.
Tanzania Hakuna kazi rahisi kama uchambuzi.Once mwananchi always mwananchi.
Huyu dogo Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga. Mechi ya jana amecheza kinazi. Amecheza chini ya kiwango chake. Kuna baadhi ya mashuti alikuwa anajipigisha fyongo ili mradi asilete madhara kwenye klabu yake hiyo ya Zamani.
kwa watu wanao jua kusoma body language/ body gestures ( body movement) za mtu na ambao walimtazama Feisal kwenye mechi ya jana, wanaweza kukubaliana nami pasi na shaka yoyote ile kwamba Feisal bado ana mapenzi makubwa na Yanga.
# usikute jana dogo alienda kushangilia chooni
Kwa hiyo mlitaka Feisal amninie Aucho Mtu aliyekuwa rafiki yake No.2 baada ya Mayele? Mnaloga mchana nyie.Mechi imeisha YANGA 3___AZAM2 FEI TOTO anatabasam tu na washikaji wake kina AUCHO kama vile yeye hayo matokeo hayamhusu. DOGO alijichanganya sana kuhusu like sakata lake na INJINIA.
Ndio tunayo Faisal ni mwana mpotevu akirudi tutafanya sherehe [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]Ama nyie mashabiki wa Yanga ndo bado mna mapenzi kwa Feisal[emoji848][emoji848]
Wewe jamaa bana [emoji1787]Kuna bosi pale azam ni mwananchi,huwa anatoa maelekezo kwa wachezaji vilaza kama feisal wasikamie