Nimekupata. Kusema kwamba ni normal kweli ni uongo, its very abnormal. Ila sasa turudi kwenye main point, kutoa huko mahari kunakufanya vipi uwe mwanaume zaidi au upungue uanaume? Kwakuangalia, jamaa ameishi na binti vizuri kwamuda na wala wazazi wake hawajui binti yao anaishi vipi wala hawakujali na mpaka mimba katoa, na mpaka binti still anamtaka jamaa hivyo inamaana anatimiza majukumu yake vizuri kiuchumi kihihisia na kitandani. Sasa nieleweshwe kidogo, kitu kipi ndani ya mahari itafanya awe zaidi ya mwanaume alivyoapo?Is it normal mwanaume unakataa kumtolea mwanamke mahari mkuu??
Kila tamaduni zina utaratibu wake mkuu, kuna wale binti ndio anasema anachotaka, kuna wale wazazi ndio wanakubaliana kiwango cha mahari.Hili swala la mahari linapotoshwa, msemaji ni muolewaji, why baba aseme mahari yeye ndio unaemuoa, atasema kamlea, kamsomesha, je hicho kiasi ndio kinaendana na gharama zake, na je akishakupiga kiasi kirefu, ndio mmemalizana, isipigwe simu sijui mdogo wake kakwama ada, niongezee.
Mahari anataja muoelewaji, ni zawadi yake toka kwa mume.
Na wewe unajiita mwanamke. K umeshindwa kuitunza utaweza itunza ndoa kweli?unaitumia mbususu kama mtaji wewe na familia yako.Na uyu pia anajiita Mwanaumeπ«€π«€π«€ mahari tu inakushinda kutunza mke na family utaweza?
Wewe olewa kwa kutolewa mahari. Sikukatazi. Nyie Elimu haijawasaidia maana umaskini wetu mnataka kuupunguza kupitia mbususu zenu? Halafu mnakuja zungumzia mfumo dume ila pesa mnataka mpewe kwa sababu mna mbususu? Fanyeni kazi msijiuze.Nasema hivii :Huna lolote! It's either hauna hela kama unavojigamba,au wewe ni mbinafsi sana!Mnajidai mmesoma halafu elimu yenu haiwasaidii kufit kwenye jamii[emoji15]Angekuwa dada yako ungekuwa unapayuka hivyo?Mahali zilikuwepo ,zipo na zitaendelea kutolewa.Kama nyie wasomi mavi mnadhani hazina umuhimu hameni kwenye jamii zenu,mhamie pengine mkaaanzishe jamii mpya na msitoze mahali watoto wenu watakapozaliwa.Lakini as long as mnaishi kwenye makabila hayahaya ya Tz,mahali mtatoa,au mpoteze heshima.Mkwe ambaye hajatoa mahali si mkwe.NAKUULIZA,kwa ubinafsi huo utaweza kutunza familia?Hovyo
Ni kweli sitaweza kutoa 30m kumlipia, hilo ni kweli. Kwako kama kutoa mahari kubwa ndio kipimo cha kuweza kunhudumia, rudi nyuma ufikirie tena, ndoa ni lifetime commitment, kuna nyakati zote ndani ya ndoa. Ukiendelea kuwaza kitoto namna hiyo ndoa haikufai.Kwa staili hii Ukimuoa Figo yake moja ikafeli utaweza kutoa 30m wampandikizie Figo nyingine??.!
Umaskini mbaya sana. Unataka uuze mbususu upate mtaji kwa ajili ya familia yako? Fanyeni kazi. Sisi wengine hatununui mbususu tena used.Umaskini mbaya sana,6M ndo ela ya kuleta uzi hapa?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Million 6 ya nyokoHuyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.
Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Mimi nimetoka kwenye mti? Nani anampa mahari mzazi wangu kuniandaa toka nikiwa mchanga mpaka nimekuja kuonek nayeyeMzee binadamu kumuandaa tangu akiwa mchanga mpaka uje mkutane na umuone anafaa sio kaz rahic. Ni kwa neema tu. Hivyo ukiwa Baba mtarajiwa kila wakati kuwa sehemu ya utatuzi sio tatizo. Diplomasia ni muhimu hasa kwenye kila kitu kabla maamuz magumu ukishafikia kuwa na familia Mzee. Mwanaume bora bora ni yule anaetumia akili zaid kuliko hisia.
Hata wapumbavu hufikisha miaka 50 kwenye ndoa. Achana na hiyo yako michache ya kibwege. Wewe toa mahari mimi sitoi kila mtu anaishi maisha yake.Braza sitokupa mawaidha mengi Ila skiza haya mawili vizuri (Nina miaka 9 kwenye ndoa na nipo happy):
1: mjuaji Hana ndoa - inamaana ke kwa kawaida wanaupuuzi mwingi Ila Kama mwanaume to some degree mpe leeway ajiskie tu Ila uwe na red lines anazojua .
Usiwai mwonyesha mke always kuwa akija juu mnapatana juu nyote .
Silence is a powerful weapon .,nenda kwa ndoa zilizokomaa utapata mwanaume akitoa jicho flani ashaeleweka kitambo bila kutumia nguvu ,sauti ,ni respect aliijenga .
2: jifunze kuumpa ke wako nafasi adeke ,dadake katolewa 4.6 M mahari ,anachotafuta ni akaringe na mumewe kuwa anajiweza pia .Usiwe na tabia ya kubana inakuwa mbele ya wenzake hawezi jitambia , kwani millioni 5 utafilisika , Kama ni ya juu mketishe chini mweleweshe Kama mke wako ,Kuna maneno ukitoa ya hekima ,ata uende na na laki 5 atafurahi tu na atakutetea Sana ukweni .
Huku nje tunajitambua Ila kuishi na mtoto wa watu inaitaji hekima Sana ,seek wisdom not pride .
Hyo mismamo ya kijinga umejiwekea utakuja juta
Wewe mwenye akili umeolewa kwa tsh ngapi? Mumeo ndo ana akili. Sivyo?Naomba niseme nyote wawili hamna akili
Hujielewi, na kwa izi akili zsko hustahili kuishi na mwanaume.Hujielewi, na kwa izi akili zako hustahili kuishi na mwanamke.
Kama hutaki kutoa mahari jiandae kuwa Upinde au kaoe mzaramo mahari unapeleka ata msaafu tu.
Man up.!!
Mkuu usinitoe kwenye msitari, Naomba tustick tu kwenye kipengele cha mahari otherwise naomba unijibu ili swali..Nimekupata. Kusema kwamba ni normal kweli ni uongo, its very abnormal. Ila sasa turudi kwenye main point, kutoa huko mahari kunakufanya vipi uwe mwanaume zaidi au upungue uanaume? Kwakuangalia, jamaa ameishi na binti vizuri kwamuda na wala wazazi wake hawajui binti yao anaishi vipi wala hawakujali na mpaka mimba katoa, na mpaka binti still anamtaka jamaa hivyo inamaana anatimiza majukumu yake vizuri kiuchumi kihihisia na kitandani. Sasa nieleweshwe kidogo, kitu kipi ndani ya mahari itafanya awe zaidi ya mwanaume alivyoapo?
Acha ujinga, Kuna Mila, tamaduni na desturi tofauti Kwa kila pahala. Usituletee Mila za kiarabu harafu utake kila mtu azifuate.Mahari inapaswa kutajwa na anayeolewa sio anayeozesha. Huyo baba yake ndio ataolewa? Huu utaratibu ni wa Kipumbavu.
A lifetime commitment halafu mahari tu inakushinda.Ni kweli sitaweza kutoa 30m kumlipia, hilo ni kweli. Kwako kama kutoa mahari kubwa ndio kipimo cha kuweza kunhudumia, rudi nyuma ufikirie tena, ndoa ni lifetime commitment, kuna nyakati zote ndani ya ndoa. Ukiendelea kuwaza kitoto namna hiyo ndoa haikufai.
Kwa hiyo unadhani kutoa 10m kwa ajili ya mahari kunakupa guarantee ya kuweza kutoa huduma in 30yrs ya ndoa?A lifetime commitment halafu mahari tu inakushinda.
Kama hayo ndo mawazo yako ya kikubwa its better you sleep
Lala mkuu maana sikuelewiKwa hiyo unadhani kutoa 10m kwa ajili ya mahari kunakupa guarantee ya kuweza kutoa huduma in 30yrs ya ndoa?
Kwanza una ndoa au nazungumza na kitoto kipo likizo?
Unajua ninani aliyeanza kutoka nje ya mada, siunajua ni wewe! Mimi nimekueleza majukumu halisi ya mwanaume ndani ya familia na ndiyo kinachomfanya awe mwanaume, au nimekosea. Kuleta mambo ya ushoga umeleta wewe wala sijasema kuhusu sijui wazungu na kuwaiga, hao ni wao. Mimi nataka hicho kipengele cha kumconvince mtoa mada atoe mahari kwakuwa ndio uwanaume, unauhakika huo ndio uanaume. Maana ninamifano hai ya dada zangu waliotolewa mahari na wakazalishwa ila mpaka leo hawajaolewa na mbaya zaidi majukumu ya baba anayafanya yeye kwakuwa mwanaume anaona mwanamke anaajira hivyo majukumu ya kulea mtoto kayasahau kabisa na ndoa kama haipo kabisa. By the way, mimi sijasema asitoe mahari, mimi nataka unionyeshe huo uanaume unaopatikana kwakutoa mahari.Mkuu usinitoe kwenye msitari, Naomba tustick tu kwenye kipengele cha mahari otherwise naomba unijibu ili swali..
Mwanaume kupaka make up, kupaka Kucha rangi, kutoboa pua na kuweka hereni sikioni kunafanya vipi sifa yake ya uanaume ipungue au iongezeke???
and then kwa tamaduni zetu za kiafrika unajua maana ya mahari au ni kwanini almost jamii zetu zote za kibantu mwanamke anapotaka kuolewa lazima mwanaume atoe mahari??
mtoa mada ni kwamba hataki kabisa kutoa mahari kinyume kabisa na taratibu zetu za kimila na desturi na sioni ajabu kutamkiwa kiasi kikubwa cha mahari kwa kuwa hamna kiwango specific cha kulipa mahari kwa jamii yoyote ile ulimwenguni maana iyo inakuwa determined na factors nyingi sana ambazo hata wewe unazijua.
Btw ulitaka mtoa mada aambiwe mahari elfu 50 au?