MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Tafuta hela uache kunipotezea muda kijanaBas unajiona mwamba kulisema neno upinde kwny kila post yako au sio,matusi meng hayakufany uonekane dume kamili mzee ndo ushoga wenyewe huo,badilika, kutukana ovyo wanafanya wanawake ambao wako mwezini
Kwenye dini yetu, Waislamu suala la mahari ndilo linaifanya ndoa ikubalike na ndio maana pale kwenye kipengere wanasema ... Kwa mahari mliyokubaliana.Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.
Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Binafsi naona swala sio mil 6. Siwezi kulipa kitu kwa mlinganisho na wa wengineTafuta pesa ili uweze kuelewa milioni 6 ni heshma na upendo. Ukishazipata utajua upendo ni kutoa
Unalialia na milioni 6 unavyowaza kuitoa maisha yako yote utaweza kununua diapers na maziwa wewe🙄🙄
Hivi unadhani wewe ungekuwa na hela kama Mo ungepewa mahari wewe ungifanyia nini kama ni shukrani ya heshima?
Mahali hupokea familia duni na watu maskini, Nina dada lakini najiuliza ikitokea anaolewa hiyo maari itanisaidia nini au heshima ipi unayoisema nitaipa
Huyu jamaa bado yuko kwao na amekua shuhuda wa dada zake zaidi ya watano wakiolewa,nadhan ndo experience ya maisha aliyonayo kwny maisha,alivyoona M5 zinatolewa kwa dada zake akaona maisha rahisi sijui alitamani na yeye awe wa kike aongeze mtaji kwa wazazi wakeKwa hiyo unadhani kutoa 10m kwa ajili ya mahari kunakupa guarantee ya kuweza kutoa huduma in 30yrs ya ndoa?
Kwanza una ndoa au nazungumza na kitoto kipo likizo?
yote kwa yote mahari ya mil 6 ndefu hela haiokotwi aisee
We utakua na mimba ya miez nane bila shaka, you sound like you're possessed madamTafuta pesa ili uweze kuelewa milioni 6 ni heshma na upendo. Ukishazipata utajua upendo ni kutoa
Unalialia na milioni 6 unavyowaza kuitoa maisha yako yote utaweza kununua diapers na maziwa wewe🙄🙄
Mmmmmh!?!? Eeheehe! Mmmh!? hiki ulichoandika atakuelewa mtu aliye jengwa kiakili katika miaka ya 80's na wachache katika nyakati hizi walahi vile tena ukizingatia hivyo viwango vya mahali vyenyewe, maana navyoona inaitajika Imani tu kuamini kwamba nikilipa mahaliali basi inaonesha naweza kummuda mke na watoto
Sawa ngoja niendelee kuzitafuta nikipata M5 takuja kukuoa km dada zako walivyoolewa,wazazi wako wasije kukubagua kwakua utakua umetolewa mahari ndg,endelea kunisubir sawa MissTafuta hela uache kunipotezea muda kijana
We utakua na mimba ya miez nane bila shaka, you sound like you're possessed madam
Nasema hivii :Huna lolote! It's either hauna hela kama unavojigamba,au wewe ni mbinafsi sana!Mnajidai mmesoma halafu elimu yenu haiwasaidii kufit kwenye jamii[emoji15]Angekuwa dada yako ungekuwa unapayuka hivyo?Mahali zilikuwepo ,zipo na zitaendelea kutolewa.Kama nyie wasomi mavi mnadhani hazina umuhimu hameni kwenye jamii zenu,mhamie pengine mkaaanzishe jamii mpya na msitoze mahali watoto wenu watakapozaliwa.Lakini as long as mnaishi kwenye makabila hayahaya ya Tz,mahali mtatoa,au mpoteze heshima.Mkwe ambaye hajatoa mahali si mkwe.NAKUULIZA,kwa ubinafsi huo utaweza kutunza familia?Hovyo
Kwa hiyo anajiuza?Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.
Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Mahari ndiyo kigezo cha uwezo wa mtu kutunza familia? Watu mnautumia vilivyo utoto wenu. Hongereni sana.NAKUULIZA,kwa ubinafsi huo utaweza kutunza familia?Hovyo
Kwa izo fikra zako utachelewa sana kuzipata labda uache kubanduliwaSawa ngoja niendelee kuzitafuta nikipata M5 takuja kukuoa km dada zako walivyoolewa,wazazi wako wasije kukubagua kwakua utakua umetolewa mahari ndg,endelea kunisubir sawa Miss
Huyo jamaa na wanaomsapoti wote ni machokoNasema hivii :Huna lolote! It's either hauna hela kama unavojigamba,au wewe ni mbinafsi sana!Mnajidai mmesoma halafu elimu yenu haiwasaidii kufit kwenye jamii[emoji15]Angekuwa dada yako ungekuwa unapayuka hivyo?Mahali zilikuwepo ,zipo na zitaendelea kutolewa.Kama nyie wasomi mavi mnadhani hazina umuhimu hameni kwenye jamii zenu,mhamie pengine mkaaanzishe jamii mpya na msitoze mahali watoto wenu watakapozaliwa.Lakini as long as mnaishi kwenye makabila hayahaya ya Tz,mahali mtatoa,au mpoteze heshima.Mkwe ambaye hajatoa mahali si mkwe.NAKUULIZA,kwa ubinafsi huo utaweza kutunza familia?Hovyo
Mbona unaharaka sana kuzipokea pesa zangu madam,mwanamke bora anapimwa kwa subira pia,kuwa na tumaini utaolewa ikifika zamu yako tena kwa mahari ya M6Kwa izo fikra zako utachelewa sana kuzipata labda uache kubanduliwa
Ndio 6M kwakuwa mahari hailipwi yote kwa mara moja unaweza kukubali mahari ya 6M lakini ukaoa na kuishi na mkeo hata miaka 50 na hiyo mahari haijaisha na hakuna kesi mahakamani wala kanisani/msikitini.6m sio hela ya kutisha kutoa mahari? Humu jf kuna watu matajiri sana dah!
Kwani wake hua wanauzawa?Unataka mke wa Bure?
Poor Africans