Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Mahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,

Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,[emoji23]

Ni uhuni tuu na Mila za kishenzi.
Kumuuza Binti yako sio uungwana.
Unataka Mahari Kwa vigezo vipi?
Kama ulimlea Binti yako hata huyo kijana alilelewa na Wazazi wake,
Binti ndio ataje Mahari, Kwa sababu yeye ndiye muolewaji, yeye ndiye MKE mtarajiwa na ndiye mwenye uhitaji wa kuolewa.
Mzazi anataka Mahari Kwa misingi ipi?
 
Aloo jamaa uko sahihi, kuna miamba ilijipigia bure, ikaoa kwa muda wa wiki au miezi huko chuoni bila hata kutoa senti ila zigo lije kukuangukia wewe unaeoa sasa hivi kwa kufuata taratibu.

6 mil zote hizo kwa mwanamke aliepigwa kila aina ya pipe, hata mimi sitoi.
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Kwan si amejieleza vizuri kbs kwamba Yuko tayari binti akaolewe huko anakoona wako tayari na conditions za familia,halafu Nani kakudanganya kwamba mahali kubwa ndo kipimo cha kuonyesha mwanamme Yuko tayaru kumudu majukumu! Kikubwa jamaa he is standing on his principal kwamba anampenda kweli binti lkn she is the one to decide!
 
Aloo jamaa uko sahihi, kuna miamba ilijipigia bure, ikaoa kwa muda wa wiki au miezi huko chuoni bila hata kutoa senti ila zigo lije kukuangukia wewe unaeoa sasa hivi kwa kufuata taratibu.

6 mil zote hizo kwa mwanamke aliepigwa kila aina ya pipe, hata mimi sitoi.
Nami nimewahi oa bure kwa miaka miwili chuo. Sikulipa chochote tulipanga Changanyikeni miaka miwili. Halafu kuna mtu kwa mwanamke huyo anaenda lipishwa mahari
 
Kwan si amejieleza vizuri kbs kwamba Yuko tayari binti akaolewe huko anakoona wako tayari na conditions za familia,halafu Nani kakudanganya kwamba mahali kubwa ndo kipimo cha kuonyesha mwanamme Yuko tayaru kumudu majukumu! Kikubwa jamaa he is standing on his principal kwamba anampenda kweli binti lkn she is the one to decide!
Umesema vyema. Wanawake wapumbavu wanajifanya kumpima mwanamke kwenye pesa. Mimi nlishakataa na kumpa ruhusa kama anaona sifai aende tu. Tusije sumbuana baadaye
 
Unasikiliza maneno yake au ya baba mkwe?
Baba mkwe mtarajiwa Mme-negotiate tayari?
Mimi sina cha ku negotiate naye. Msimamo wangu ni kuwa sitoi mahari. Binti nadhani ndo aliongea na familia yake. So nimemwambia mapema kuwa asitegemee mimi kwenda kutoa mahari kwao. Sina huo utaratibu. Nitachukua mwanamke qmbqye yupo tayari aje tuishi sote.
 
Muache au kalipe mahari acha kulia lia kuwa atakupa nini, kwani wewe umempa nini mpaka sasa?. Wenzako wanaowapaga ujauzito wanaita kupitia dirishani ndo wanakuwa na kiburi cha kupanga mahari.
Nilishampa mimba mara mbili akatoa. Sina wasiwasi. Na nlishamwambia aondoke kama anaona bila mahari hawezi kuishi nami. Hajaondoka.
 
Lipa mahari uchukue mke
Hiyo unayotaka wewe itakuja kukutesa
Kama hujalipa mahari kimira na desturi watoto ni Mali ya kikeni na huna sauti.
Je, utakubali?

Watoto sio Mali ya yeyote.
Hakuna MTU anayemiliki MTU mwingine kwenye huu Ulimwengu.

Watoto wakikua wanaweza hata Kubadili majina yenu mliyowapa na ni Haki Yao. Na hamtakuwa na chakuwafanya.

Kuhusu swala la Mila na desturi hizo ni Hadithi za kizamani.
Kwani ni Mila ngapi zimevunjwa, kuoa tuu MTU wa kabila jingine kimla na desturi hairuhusiwi.
Kimila Mwanamke anarithiwa mumewe akifa, Hilo siku hizi halifanyiki.
Kimila Mwanaume anauwezo wa kuoa Wakw wengi, awaulize Huko ukweni ikiwa wao wanafuata Mila watakubali Wewe umuongezee wake wengine Binti Yao? Alafu usikilizie.
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.

Wewe una kajeuri flani hivi mkuu, usipokua makini hutaowa wala kuishi na mke yeyote, ulipaswa kuliongelea kifamilia na sio kumwanika humu,, je! Unajuaje kama si member wa jamiiforum huyo binti!!! Aleyommba gekke mami kuwa makini!
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Sihitaji watu waje kunipangia utaratibu wangu. Namchambua ndiyo sababu sioni sababu ya kutoa hiyo mahari. Mfano wewe mwanaume mwenye akili aje akutolee mahari iweje? NAKATAA KUTOA MAHARI, NAKATAA KUHONGA.
 
Fala wewe fanya kazi, tafuta pesa, huyo mwanamke kwa atakayokuja kukufanyia maishani ni zaidi ya mara milioni moja ya hako ka mahali kako.
 
Kwenye hii Dunia ya Sasa,mzazi kutaja mahari zaidi ya milioni ni kama unataka mwanao azalie nyumbani.

Kuna wazazi Wana tamaa kiasi kwamba anamwona mwanae wa kike Kama bidhaa ya thamani itakayogombaniwa sokoni Kisha auze kwa Bei mbaya.
Mahari haijawahi kuwa tatizo. Tatizo ni vijana hawafati mila na desturi.

Jukumu la mjadala wa mahari linafanywa na wazee utakaowaomba wakapeleke ujumbe na wewe unakuwa umeshawaambia nafasi yako wao ndo wanaenda kuzungumza wakiwa na mshenga mzoefu halafu ww unapewa tu taarifa ni nini cha kufanya.

Mbona watu wanatajiwa ng'ombe 15 wenye thamani ya milioni kila mmoja na wanakubali unatoa ng'ombe mmoja anaambiwa utamalizia wengine huko mbele na familia inaanzishwa kwa harusi?

Kuna koo wanataja mahari kubwa ili ikitokea umemnyanyasa binti yao wanakuambia hata mahari ilikushinda hivyo hata chumba chake hapa kwao kipo bado, turudishie binti yetu.
 
Back
Top Bottom