Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Mafala huwa hawakosekan, oa kwa milion sita mwanamke aligongwaaa na wenzio countlesa na elf 50 πŸ˜‚πŸ˜‚
Kugongwa mbona kitu Cha kawaida sana braza. Hata unayemwita mama yako wewe Kuna watu kibao wanaweza kuwa walimgonga kabla hajaolewa na father yako na inawezekana Bado wanaendelea kumgonga Hadi sasa kama Bado YUPO hai. Na after all unapotafuta mke lengo huwa ni zaidi ya issue za kugonga.
 
Mafala huwa hawakosekan, oa kwa milion sita mwanamke aligongwaaa na wenzio countlesa na elf 50 πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu mbona kama 6mil unaziona kama nyiiiingi sana mpaka utoe mitusi Kwa watu usiowafahamu? Kuna watu ambao wewe huwazidi Kwa lolote na wanatoa zaidi ya 6mil Ili kupata mke na tena bila malalamiko yoyote.
 
Halafu mbona kama 6mil unaziona kama nyiiiingi sana mpaka utoe mitusi Kwa watu usiowafahamu? Kuna watu ambao wewe huwazidi Kwa lolote na wanatoa zaidi ya 6mil Ili kupata mke na tena bila malalamiko yoyote.
Kwangu mimi ni nyiingi sanaaa, niwe tu mkweli. Na kama nimekutukana waona, nikuombe radhi sana mkuu wangu, nisamehe.
Hakuna mahali nimeonyesha kumzid mtu yoyote kwa lolote. Hizo ni hisia zako tu za kujilinganisha
 
Ulivyowaita "mafala" wale wanaotoa 6mil tayari ulikuwa umetukana.
Ni sahihi lakin hizo ni lugha tu za kuchagiza convience na ni common hapa jukwaan kutumika licha ya mtu kutomaanisha kumtusi mtu.
Ila yote kwa yote, naomba usinielewe vibaya jamaa yangu. Ni katika kutetea hoja na misimamo tu. Nothing personal.
 
Oa Kwa laki 2 labda usiende ukweni na hasa kama ni Kanda ya Ziwa.
Nakubali. Mim siwezi toa milion 6, nafikiri mdio maana watu huwachukulia wake zao kama bidhaa zao maana kila akimzingua anaona kabisa milion 6 yangu mwenyewe inanizungua anachukua shaba anapiga vyuma πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nakubali. Mim siwezi toa milion 6, nafikiri mdio maana watu huwachukulia wake zao kama bidhaa zao maana kila akimzingua anaona kabisa milion 6 yangu mwenyewe inanizungua anachukua shaba anapiga vyuma πŸ˜‚πŸ˜‚
Of course mahari kubwa inapunguza idadi ya wanaojifanya kuoa Kwa lengo la kuchojwa chojwa halafu kesho anasepa. Huku kwetu uwe muislam, mkiristo, au usiyeamini Dini za kimapokea mahari lazima ujikamue.
Nakubali. Mim siwezi toa milion 6, nafikiri mdio maana watu huwachukulia wake zao kama bidhaa zao maana kila akimzingua anaona kabisa milion 6 yangu mwenyewe inanizungua anachukua shaba anapiga vyuma πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Of course mahari kubwa inapunguza idadi ya wanaojifanya kuoa Kwa lengo la kuchojwa chojwa halafu kesho anasepa. Huku kwetu uwe muislam, mkiristo, au usiyeamini Dini za kimapokea mahari lazima ujikamue.
Sasa unaona hili ni jambo jema?? Kuwakomoa vijana wasioe??
 
Sasa unaona hili ni jambo jema?? Kuwakomoa vijana wasioe??
Hakuna tatizo lolote sababu wewe Ukiwa na watoto wa kiume na WA kike ujuwe wazi kwamba kama Binti yako yuko kwenye standard inayotakiwa utapata 6mil na kijana wako naye akitaka mke standard utalipa 6mil pia (standard ni perceptions za jamii husika).
 
Hakuna tatizo lolote sababu wewe Ukiwa na watoto wa kiume na WA kike ujuwe wazi kwamba kama Binti yako yuko kwenye standard inayotakiwa utapata 6mil na kijana wako naye akitaka mke standard utalipa 6mil pia (standard ni perceptions za jamii husika).
Kwahiyo haoa mpaka sasa nina mil 18 na nitatoa 6 zibaki 12
 
Oa Kwa laki 2 labda usiende ukweni na hasa kama ni Kanda ya Ziwa.
Sasa mimi kutoa laki mbili ukweni wanakasirika nini?? Hizo ni tamaa tu mkuu, hiyo milion 6 si bora uache mtoto wako na mume wake wakaanze maisha. Mnajipangia pangia tu as if nyinyi ndo mnaolewa ebo!
 
Imagine unaolewa na mwanaume wa hivi
Wanaume wa hivi ndo unakuta anasimulia kijiwen maungo na maungio ya mkewe na style wanazofanya.
Takwimu za ke kuwa wengi dhidi ya me ukute zimeongezwa na kasi ya me kuhamia kwa ke, kijinsia!
 
Wewe oa mwanamke unayeweza kumuoa kwa mahari na matunzo.

Ukikutana na mahari ukaiona ni kubwa usilalamike wala kukasirika.....tafuta saizi ya uwezo
Mahari kubwa lakini unachokipata ni kilekile kama cha kwa mwanamke mwingine
 
Sasa mbona unafoka
 
Laki5 yako wewe
Wapo wa elfu50 na wapo wa milioni5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…