Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ulichoandika kinaweza kuwa na ukweli ndani lakini mahari ya 6m ukiingiza shamba ndani ya miaka mitatu inaeza kukuingizia more than 20m sasa huyo mwanamke hela yote ya nini na kuachana ni bure tu yaani akijisikia tu kukuacha anakuacha

Kwanini huyo baba kama anajitambua asikuachie hiyo 6m iwe kama mtaji wa kujenga familia imara wewe na mwanae?

Mahari ikizidi 1m ni kukomoana labda kama wote mmeshajithibitishia kwamba ukwasi upo wa kutosha

Mzazi anataja hela nyingi kama anamuuza mtoto alafu kesho na kesho kutwa akisikia mtoto kazuiwa na mumewe kwenda kuwasalimu anaanza ku-panic
Wanataka wapewe mahari milion sita alafu bado wajikute wana utawala kwa mtoto wao kuliko wewe na bado eti wakipata shida liwe jukumu lako la lazima (as if wao hawana mtoto wao wa kiume)
Aliyeleta huu ufala sijuw aliwaza nn
 
Hizi siri haziletwagi huku mdogo wangu.
Kumbuka hamko vitan kwamba mnabomoana.
Hii issue nawe inakutafsiri.
Mahari lazma utoe sema kiwango ndo ujengee hoja.
Kwa simulizi hizi ndo tunaona madhara ya Gen Z isiyo na mila wala desturi.
Nawashauri wanaume ..Oa kwenu au kabila lako utunze heshma na watoto wawe na ID ya asili yao hasa LUGHA!
Kuna elements zikikosa kwenye ndoa au kutovaana hasa dini, lugha, mila na tamadun,.. inakuwa kama nyumba iliyojengwa juu ya mchanga!
Imagine unaolewa na mwanaume wa hivi
 
Wanataka wapewe mahari milion sita alafu bado wajikute wana utawala kwa mtoto wao kuliko wewe na bado eti wakipata shida liwe jukumu lako la lazima (as if wao hawana mtoto wao wa kiume)
Aliyeleta huu ufala sijuw aliwaza nn
Kama anataka huyo mke atoe hiyo mahari, aache kuruka ruka. Kama hana hiyo 6 mil Hilo ni tatizo lake na familia yake ya kimaskini. Biblia takatifu imetuonesha ilivyo vigumu kupewa mtoto wa watu. Jamaa alipiga kibarua Cha kuchunga mifugo miaka Saba kisa apate mke. All else aoe Kwa kufuata Mila za kiarabu, Huwa wanapeana Bure maana huoana ndani ya familia hiyo hiyo.
 
Kama anataka huyo mke atoe hiyo mahari, aache kuruka ruka. Kama hana hiyo 6 mil Hilo ni tatizo lake na familia yake ya kimaskini. Biblia takatifu imetuonesha ilivyo vigumu kupewa mtoto wa watu. Jamaa alipiga kibarua Cha kuchunga mifugo miaka Saba kisa apate mke. All else aoe Kwa kufuata Mila za kiarabu, Huwa wanapeana Bure maana huoana ndani ya familia hiyo hiyo.
Hata iweje binafsi siwezi kumlipia mtoto wa mtu 6M,na bikra katoa fala tu ambaye kagaramia simu ya laki na nusu na bolt. Halafu uboya zaidi unakuja wazazi tu wamekaa wakakuona ndezi wanaamua wakupige 6M, UONGO brother !
 
Kama anataka huyo mke atoe hiyo mahari, aache kuruka ruka. Kama hana hiyo 6 mil Hilo ni tatizo lake na familia yake ya kimaskini. Biblia takatifu imetuonesha ilivyo vigumu kupewa mtoto wa watu. Jamaa alipiga kibarua Cha kuchunga mifugo miaka Saba kisa apate mke. All else aoe Kwa kufuata Mila za kiarabu, Huwa wanapeana Bure maana huoana ndani ya familia hiyo hiyo.
Brother, marrying a non virgin is the highest fraud against men in the 21st century.

Why should an innocent man pay in full for what another man open for free? It's not a fair play. A woman is no longer a virgin doesn't deserve to have a bride price.

In the ancient virginity is one of the first criteria for marrying any woman. During those days the standard was rigid. No virgin, no bride price.

This days women no longer care, they are not concerned, sexual purity is no problem for them, they know that after open legs nation wide, they will still find a man who will pay their bride price in full.

Mother's are no longer interested in the chastity of their daughters. Virginity is downplayed in the Society because men are now willing to accommodate such compromise.

As a man know that body counts matters, and also her past, judge a women harshly by her body count and past before committing to them at least this will give some ladies sense to frown at promiscuousness.

Men needs to protest and stop paying bride price in full for any woman who is no longer a virgin because it's wickedness for a man to pay in full for what he did not open.

Some ladies who are communities whores, still thinks they are entitled to full bride price payment. Some families who knows that their daughters are Chief prostitute still expect an innocent man to pay heavily on her head, what a wicked world for men.

She's no longer a virgin but her bride price lists can feed two communities, this is totaly bullshit.

Men must awake, before you start arranging paying full bride price for any woman, consider if she worth it, judge her by her past, her body counts, attitude, submission etc, they higher the damages, the more reason you need to abort mission.

Sorry for using english unajua nikishakua na serengeti lager kadhaa kichwani nasahau kabisa kiswahili.
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Mbona kushindwa mahari hakuna uhusiano na malezi
 
Kubali kataa mkuu vipo vitu kwenye jamii hatuwezi kuviondoa kwa Sasa labda uishi miaka 100,000.

Usipolipa mahari ujue huyo sio mkeo na hao sio watoto wako.
Heshima kama Mwanaume,Mume kwenye hiyo jamii ya mkeo utakuwa huna.

Watoto ni kwako, serikari na Mungu ukisema si wa yeyote kwanini wewe unajitambulisha kama mtu wa Same?

Lipeni mahari hacheni hizi ngokowa,
nani aliyekwambia Wazungu hawalipi mahari?
Mambo ya mahari yamepitwa na wakati
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Kwahiyo kama wewe ulitoa mil 10 unataka na wenzio watoe hiyo sio
 
Mzazi aliweza kumlipia ada m2 kwa mwaka mwanawe una mwita maskini,
Wewe ndiyo lofa unayeona m5 ni big Hela fala wewe!!!
Wiki iliyopita nilikuwa kwa send-off bwana harusi alikuwa amelipa mahari m8,
Ila baba Binti alitoa zawadi ya nyumba mpya yenye thamani ya m100 na hati ilionyeshwa live majina Yao wote wawili!

Acha ushamba na mawazo ya kimaskini kama ulipotokea
Hilo jambo la mtu kuolewa bila mahari mbona limekuuma mkuu
 
Brother, marrying a non virgin is the highest fraud against men in the 21st century.

Why should an innocent man pay in full for what another man open for free? It's not a fair play. A woman is no longer a virgin doesn't deserve to have a bride price.

In the ancient virginity is one of the first criteria for marrying any woman. During those days the standard was rigid. No virgin, no bride price.

This days women no longer care, they are not concerned, sexual purity is no problem for them, they know that after open legs nation wide, they will still find a man who will pay their bride price in full.

Mother's are no longer interested in the chastity of their daughters. Virginity is downplayed in the Society because men are now willing to accommodate such compromise.

As a man know that body counts matters, and also her past, judge a women harshly by her body count and past before committing to them at least this will give some ladies sense to frown at promiscuousness.

Men needs to protest and stop paying bride price in full for any woman who is no longer a virgin because it's wickedness for a man to pay in full for what he did not open.

Some ladies who are communities whores, still thinks they are entitled to full bride price payment. Some families who knows that their daughters are Chief prostitute still expect an innocent man to pay heavily on her head, what a wicked world for men.

She's no longer a virgin but her bride price lists can feed two communities, this is totaly bullshit.

Men must awake, before you start arranging paying full bride price for any woman, consider if she worth it, judge her by her past, her body counts, attitude, submission etc, they higher the damages, the more reason you need to abort mission.

Sorry for using english unajua nikishakua na serengeti lager kadhaa kichwani nasahau kabisa kiswahili.
mmmh hatarii mkuu inpity watoto watakaotoka kiunoni kwako
 
Cha ajabu umri wa mabinti ukiwatupa mkono wazazi wanatamani atokee tu mtu amuoe binti yao kishkaji
 
ma.vi yako.. kuoa inahitaji uwe mwanaume uliyekamilika kiakili, hekima na uchumi. ...umekurupukia jambo lililo juu ya uwezo wa akili yako.....jihangaikie machangudoa tu, ndiyo size yako. Kuoa si size yako.

Hata huyo unayehangaika naye ni changu tu. Binti anayejitambua asiye changudoa hawezi kukubali kukaa unyumba na mbwa kama wewe
Acha kulalamika mahari kubwa ni utapeli
 
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.

Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Piga chini mara moja, watakuja wajinga walokole wataingia kichwa kichwa wakichangiwa na waumini wenzao kanisani. Ndoa ni maelewano tu, unauziwa mwanamke ili iweje?
 
Kwahiyo kama wewe ulitoa mil 10 unataka na wenzio watoe hiyo sio

Wewe oa mwanamke unayeweza kumuoa kwa mahari na matunzo.

Ukikutana na mahari ukaiona ni kubwa usilalamike wala kukasirika.....tafuta saizi ya uwezo wako
 
Back
Top Bottom