Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kusoma tumesoma kipato tunacho na usawa hatuutambui kwenye issue ya mahari. Usawa ni kwenye elimu, ajira, kumiliki Mali ndani ya jamii ila usituletee usawa wa kutaka tukulipie mahari. Hivihivi ndio wanaume wanageukaga🙄

Wewe milioni 6 kwa maisha yako yote umeongea karibu uzimie, utaweza kununua diapers na maziwa ya watoto kweli🙌🙌
Kachizika huyu hana akili kabisa
 
Wanawake mmeamua kuandamana kwenye huu Uzi[emoji1][emoji1]
 
Ila tuache masihara mtoto mahali yake 6m na kuendelea, kijana anshindwa kutoa hiyo mahali anasepa zake lakini bintiyo akija mtaahani wahuni wanaizagumua tu tena wengine hujifanya wife materials hawataki kitu zaidi ya ndoa lakini mchongo unakuja kukwamishwa na mahali na tayari kashatumika sana.Wengine wanapewa elfu ishirini tu anaachia mali.

Alafu Bado tu mnaendelea kusema mahali si chini ya million sita... ,Anaendelea tu kubaki hapo hapo mara kapata mtoto baba aeleweki na bado wanaendlea kutumika tu mpaka wanapotaka kuolewa Kwa mahali ya milioni moja jua la jion hili hapa mashavu ya kotekote yameshuka kama puto lililoishiwa upepo Sasa hapo kunafaida wakuu

Yani Bora Binti asiweantumika huku mkingoja mwenye milioni6 atokee
 
there is always simple solution to difficult issues......kaa bila kuoa. Kuwa bachela si kosa kisheria. Nenda RITA utapewa hadi cheti cha bachela. You will be a certified bachelor.
Lakini kudhani utaoa mke bila kutoa cho chote huko ni kujidanganya na ujinga wa level ya uprofesa. Endelea kuoa/kubadili machangudoa wa mitaani kila siku. Lakini ujue hata ukitaka kumuoa huyo changu, akikupoleka kwa wazazi wake lazima utalazimika kutoa kitu.
Hapo ndo Mimi ninapo onawanawake wanakosea wakitongozwa wanaachia mali alafu mahali wanang'ang'ania kiwango ambacho muoaji hawezi
 
Acha uoga nenda kawasikilize watakwambia mahari kiasi gani negotiation si inaruhusiwa jamani[emoji849]Halafu kutoa mahari n lazima sio ombi .
Ila inakata hamasa yani watu wanakaa ilikubageni jambo ambalo litafanya kuibuka hali ya undugu na bado mtakuwa mkisaidiana Kwa mambo mengi mbalimbali

Mzazi na mtoto kama mmelizia swala la ndoa tajeni kiasi Cha mahali Cha kawaida kulingana na hali ya vijana wakitanzania
 
usitufokeee waoaji ni sisi watoa mahali ni sisi tushasema hatutoi mahari kubwa bora nikanunue IST itanifariji kuliko kununua redio ndani kila wakat mikelele tuuh
Na hiyo IST mkuu itakufanya utafune matunda yaliyo njiani kimasihara kabisa yani, ambayo mengine ni milioni tatu nne,tano,sita huko
 
Dalali hilo .ukiona mwanamke ndo ana jipigia debe mahali yake jua ni bogus tu
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Unamgaslight jamaaa tu.. We huwa unakubaliana na kila unachoambiwa?

Kwanza mm naamini Mahari kama hizo ni human trafficking. Hata watumwa walikua hawauzwi bei hio.

Unalipa mahari yote hiyo alafu mtu akiingia ndani achague nn cha kufanya mara anune mara nn.

Uanaume sio kuvumilia ujinga na kukubali anything tu. Mwanaume ni yule anaejipenda na kuchagua kile anaona ni sahihi kwake. Shida enu mnajionaga mayai sana.

Nowdays men wanafata Value.. Value gani unaleta nyumbani kwangu.
 
Nilishampa mimba mara mbili akatoa. Sina wasiwasi. Na nlishamwambia aondoke kama anaona bila mahari hawezi kuishi nami. Hajaondoka.
Mzee bado unakaa na muuaji? Aisee mie mtu atoe mimba ya mwanangu bila idhini yangu nae anaondoka tu on the spot. Silei wauaji mm
 
Back
Top Bottom