Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Yani kwa nilivyosoma tu, uandishi wako wenyewe unaonyesha kuna ubabe flan na lugha si nzuri unatumia kwa binti wa watu, kitendo cha kusema umekuta ameshatumika wewe hujamtumia? Thaman ya binadamu haipimwi hvyo mkuu… weka utu kwanza na hata ungezungumza nae kwa busara msingefika huko, Jitafakari mkuu
 
Yani kwa nilivyosoma tu, uandishi wako wenyewe unaonyesha kuna ubabe flan na lugha si nzuri unatumia kwa binti wa watu, kitendo cha kusema umekuta ameshatumika wewe hujamtumia? Thaman ya binadamu haipimwi hvyo mkuu… weka utu kwanza na hata ungezungumza nae kwa busara msingefika huko, Jitafakari mkuu
Thamani ya binadamu haipimwi kwa mahari pia. So mahari isiwe kigezo cha watu kuoana. Kwani ikiwa juu sana ndo anakuwa na thamani sana?
 
Milioni 2, au 10 au milioni6 utaona thamani yake kutokana thamani unayoitaka na uwezo wako
Ndio maana nimesema sio lazima uende huko kwa milioni 6 au 10. Unaweza kwenda kwa mahari ya elfu 50 kiroho safi tuu bila lawama
Hata wa bila mahari wale wa kuwalipia mahari wapo tena wanaume kwa wanawake😏😏
kwa hiyo anaetoa mahari mil 10 na anaelipa lak 5 wanawake wao watatofautiana thamani kivip?
 
Kumbe hujui cha kuifanyia mahari!? Sasa kaa ujuzwe ndio urudi kutoa hoja

Mahari ni shukrani tena jamii nyingi wanapokea mahari kwa style ya kualika ndugu, jamaa, ukoo, majirani na marafiki Kula na kunywa pamoja wakifurahia kumlea binti yao, kuwatambua mume anayenda kumuoa na familia wanaompokea na kumuaga

Sasa wewe endelea kukalia milioni 6 ni pesa nyingi. Tafuteni pesaaaa
Sijasema hiyo ela ni nyingi, aliyesema ni mleta mada. Point yangu nikuwa hali duni za watu ndio inafanya wachukue mahari.

Kwani usipochukua hiyo mahari wewe wapungukiwa nini kama mama

Je ukichukia mahari wewe wafaidikaje na mahari iyo

Kiranga
 
Kwenye hii Dunia ya Sasa,mzazi kutaja mahari zaidi ya milioni ni kama unataka mwanao azalie nyumbani.

Kuna wazazi Wana tamaa kiasi kwamba anamwona mwanae wa kike Kama bidhaa ya thamani itakayogombaniwa sokoni Kisha auze kwa Bei mbaya.
Itafikia mahala wataomba wao walipe mahari
 
Ndo hapo mkuu, yaani utoe 6M kwa mtu kama huyo kweliii??
Kwa wazazi waelewa wala huwa hawadai mahali kiivyo, ila watasema uende wakujue na watakutajia mahali rafiki ambayo huwa haiishi.

Kwa nnavofahamu mahali huwa haiishi maana kama umetajiwa 3M then ukatoa cash 3M ni dharau inakua kama umemnunua mtoto wao.
Ila 6M ni parefu mno kwa chombo used.
Chombo used tena.
 
Sioni sababu ya kuwakomoa vijana, na kusema eti kulipa mahari kubwa kunampa mtoto wa kike guarantee ya kuishi/kuhudumiwa vizuri nadhani ni mawazo potofu tu.

Kwa vile tumesema mahari ni asante na thamani ya mtoto wa kike haipimwi kwa kiwango cha pesa, mahari iwe reasonable.

Hakuna anayewakomoa vijana wa kiume, wanajikomoa wenyewe kwa kutaka kuoa wasipopamudu.

Unaposema mahari iwe reasonable usisahau kwa wengine milioni 6 ni reasonable sasa kama wewe laki ndio reasonable kwako tafuta wa mahari ya laki. Sio shida

Kuhusu mahusiano ya mahari na kuhudumiwa huna wa kumlaumu sababu wewe ndio mchagua mke na wewe ndio muamuzi na muoaji😃
 
Kwahiyo unwkubaliana na mm kuwa kipimo cha mwanaume kumudu ndoa siyo mahari!?? Ndiyo maana Kuna wa bure, wa elfu 50 na milioni 6.

Bali mahari ni uzuzu wa mzazi kutaka kutokea kupitia mahari ya binti yake.


Sikubaliani na wewe hata kidogo. Tafuta pesa mawazo yako yataona mambo kwa macho tofauti
 
kwa hiyo anaetoa mahari mil 10 na anaelipa lak 5 wanawake wao watatofautiana thamani kivip?

Wewe unayemudu laki5 tafuta wa laki5, usitafute wa milioni10 halafu ukaja kulalama hapa
Au unataka kulazimisha😂😂😂
 
Sijasema hiyo ela ni nyingi, aliyesema ni mleta mada. Point yangu nikuwa hali duni za watu ndio inafanya wachukue mahari.

Kwani usipochukua hiyo mahari wewe wapungukiwa nini kama mama

Je ukichukia mahari wewe wafaidikaje na mahari iyo

Kiranga

Mahari ni utaratibu jamii na imani, sio utaratibu wa mama
 
Wewe unayemudu laki5 tafuta wa laki5, usitafute wa milioni10 halafu ukaja kulalama hapa
Au unataka kulazimisha😂😂😂
acha unoko wewe nyie ndio wazazi mnaotaka kupatia kipato kupitia mahari za mabinti zenu, tafuta hela we maza acha kukaa na kusubiri mahari kubwa, utakufa maskini
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Umemtisha sana kijana , mahari ni zawadi kwa mwanamke ambae ni bikra ,kinyume na hapo kapigwa ,alafu pia kma anashindwa kuimudu apige chini tu ,sasa ivi kuna wadada wazuri tu wanataka kuolewa ata kwa msaafu na biblia tu inatosha .
 
Umemtisha sana kijana , mahari ni zawadi kwa mwanamke ambae ni bikra ,kinyume na hapo kapigwa ,alafu pia kma anashindwa kuimudu apige chini tu ,sasa ivi kuna wadada wazuri tu wanataka kuolewa ata kwa msaafu na biblia tu inatosha .

Wapi pameandikwa mahari inalipwa kwa bikra pekee!?
Halafu kama ndivyo kwanini usiwatafute hao mabikra?
 
Ndio uniambie hizo jamii zinanufaika vipi zikipokea mahari au zisipopokea mahali hasara gani wanaipata, maana kila kitu kina 2 side jema na ubaya.

Hebu acha mambo yako wewe, kumbe hata hujui mahari ni nini??
Be serious🤔
 
Back
Top Bottom