Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Wewe unamsaidia nini,umeshawahi mpa hata voucha ya buku kweli.
Unaweza ukawa unamtumia ukamsosesha mtu sahihi
 
Sasa mtumishi na huu upwiru nitaishije
 
🤣🤣🤣 sasa nimechoka nataka mahusiano seriously sio ya kupeana dudu.. hata hivyo na yeye amehisi ninamtumia kwenye sex
Na ndiomana anakukoleza ili akukope vizuri 😹🤣🤣
 
ooh kama unajisikia vibaya huyo sio ridhiki yako! kama unaweza nitafute nina Tiba yako hiyo! tutakaa sehem na kuweka sawa nipo dsm..wewe je?
Dawa gani mkuu itaje hapa.. ila ninammiss baada ya yote
 
Ingekua kama sabuni inaisha , tungekushauri ! Fanya kitu moyo unapenda ! Usisahau kinga tu basi ! Mradi ni kitu kinachokupa furaha
 
Na ndiomana anakukoleza ili akukope vizuri 😹🤣🤣
🥹🥹🥹 sasa hapo ushaurii wako wa mara Hii nitausikiliza mambo ya kukopwa halafu hanipi attention ndio siyataki
 
Kama mtu akujali kimawasiliono na ela akup muache tuu, ilibd achagui moja apo

Njoo DM kwa maelekezo zaid
 
Wewe unamsaidia nini,umeshawahi mpa hata voucha ya buku kweli.
Unaweza ukawa unamtumia ukamsosesha mtu sahihi
Mimi ukweli Sina ninachompa but Hii ni kutokana na yeye alivyoyaweka haya mahusiano no communication sasa hata mchango utatoa mchango gani kuna bond ukiitengeneza lazima niwe na cha kutoa ila Hakuna bond bond ni mpk amiss kunisex
 
Dawa gani mkuu itaje hapa.. ila ninammiss baada ya yote
usijal nitafute! kama upo dsm ni vizur zaidi..! utamsahau huyo jamaa vizuri tu..utaniambia ni maeneo gani huwa unapenda kwenda kupumzisha akili/relax ukiwa na stress
 
Gawa utamu huo.. hela ww yake ya nini na wakati umeshasema wote ni wafanyakazi [emoji23]
Basi hata anijali kwenye mawasiliano.. hivi mtu umetoka kwake ana shindwaa hata kukuuliza kama umefika salama… anakaa siku ya pili ndio anakutafuta
 
usijal nitafute! kama upo dsm ni vizur zaidi..! utamsahau huyo jamaa vizuri tu..utaniambia ni maeneo gani huwa unapenda kwenda kupumzisha akili/relax ukiwa na stress
😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…