Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Shida hio wanayo wanawake wengi ya kupenda wanapovurugwa akili. Yani mwanamke ukimuonesha kutokujali ndio hafikirii hata kwenda popote zaidi ya kunung'unika tu 🤣
Sasa bora mtu akuvuruge akili ila awe anakupenda kweli shida inakuja unamvuruga akili halafu kumbe humpendi sio vizuri
 
Sex kabla ya ndoa kwa wanaume hawa labda kama ni mchungaji au ana matatizo ya huko chini
hapana dada angu ndo maana unashauliwa kabla hujaanza kudate na mtu hakikisha anakuonyesha dhehebu analosali , kama mtu hana hofu ya Mungu ataanzaje kukupenda ww na kuheshimu hisia zako, zingatia sana na hilo na amini bado Mungu ana vijana wa kike na kiume waaminifu, ila lazima ukubali kutembea katika njia zake, ikiwemo kujitenga na uzinzi
 
Basi nitajaribu kutafuta Kijana wa kilokole au wasabato
 
Kila anae anzisha mahusiano huwa ana target zake jamaa alitarget kuchakata basi na ndio maana akitaka kuchakata unatafutwa. Simple and clear
 
Basi nitajaribu kutafuta Kijana wa kilokole au wasabato
hapana usitafte mtu kwa sababu ya dhehebu au la hatua ya kwanza tambua kwamba ngono kabla ya ndoa ni dhambi, na inaharibu hatima yako, kingine fanya maombi ya toba, jitenge na ulimwengu kwa siku tisini kwa maana gani hizi sku 90 focus na kazi, kula vzr, fanya mazoezi , lala sana, fanya ibada, itakusaidia kuilinda na kuitetea imani yako, akija mwanamme mwambie sawa ila procedure nenda nyumbani simple, hii itakusaidia kukutana na right patner vijana wengi sku hz wamewaka tamaa, na ndo maana unaona kijana ataonyesha kukupenda ila baada ya tendo anapunguza mawasiliano, na kukuacha katika majuto
 
Sawa timiza hiyo ahadi kwanza jipende wewe ili atakayekuja akupe Upendo Ili apate nafasi, usimtangulize mtu jitangulize mwenyewe hapo ndipo watakapokuthamini
Nitajitahidi katika hilo
 
Sawa mtumishi
 
please proceed with your project, don't ask for any advice on this issue, be honorable!
 
Nakushauri unitafte mimi istoshe nipo single tangu jana ntakuwa nakutafta angalau kutwa x2, hapo vp?
Mimi sio kwamba nataka mapenzi ya attention sana ni normal tu kwasababu hata mimi sipendi kusumbuliwa na masimu pia sipendi kumsumbua mwenzangu hivyo najitahidi kumpa mtu nafasi ya kupumua ile 2:2:4 yaani ndio kanuni yangu ya mahusiano naenda na bit lakini sasa huyu amezidisha yaani ndio mtu ukae siku 4 mpk 5 hujanitafuta
 
Badi sawa kama hutaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…