Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Mbona hamueleweki.. mkizungushwa kupewa sex mnasema tukuwapa mnakula na kusepa tukiwapa mapema napo maharage ya mbeya….

Kwaiyo nilipaswa kumnyima sex ama
Siyo kumnyima sex tu, ni kumnyima na kumtukana, hata achukie tayari chati yako ishapanda.

Lakini kama anakupenda nd'oangerudi kwa adabu na kuanza kukubembeleza akupose.

Ngoja nikwambie, mwanamme wa malengo huwa 'hapewi' mpaka atapotimiza lengo lake.

'Toa' kwingine lakini mwiko kumpa papa mwenye malengo na wewe, ndiyo atatia juhudi kukufuatilia kwa karibu na kuharakisha mipango yake ili akipate na kukiona unachoringia na kumnyanyasia.

Lakini ukijirahisi tu, tayari unaishusha thamani yako, anakuweka kwenye orodha ya ufuska na kushusha 'muhu' wa malengo na wewe, maana chenye thamani pekee kinachowafanya hata majemedari wapiganishe vita mataifa, wewe umemgawia kirahisi bure bure bila jasho.

hakuna mwanamme anapenda mwanamke wa kushika tu mkono na kuvutia chumbani kwake bila kikwazo wala pingamizi.

Kila mwanamme anapenda kumiliki mwanamke mgumu na mwenye msimamo.
 
Siyo kumnyima sex tu, ni kumnyima na kumtukana, hata achukie tayari chati yako ishapanda.

Lakini kama anakupenda nd'oangerudi kwa adabu na kuanza kukubembeleza akupose.

Ngoja nikwambie, mwanamme wa malengo huwa 'hapewi' mpaka atapotimiza lengo lake.

'Toa' kwingine lakini mwiko kumpa papa mwenye malengo na wewe, ndiyo atatia juhudi kukufuatilia kwa karibu na kuharakisha mipango yske ili akipate na kukiona unachoringia na kumnyanyasia.

Lakini ukijirahisi tu, tayari unaishusha thamani yako, anakuweka kwenye orodha ya ufuska na kushusha 'muhu' wa malengo na wewe, maana chenye thamani pekee kinachowafanya hata majemedari wapiganishe vita mataifa, wewe umemgawia kirahisi bure bure bila jasho.

hakuna mwanamme anapenda mwanamke wa kushika tu mkono na kuvutia chumbani kwake bila kikwazo wala pingamizi.

Kila mwanamme anapenda kumiliki mwanamke mgumu na mwenye msimamo.
Asante
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Hapa
Ni wewe unamtumia na kumharibu kijana wa watu.
Ni wewe unampotezea muda wake.
 
Anakutumia. Ila sio mbaya na wewe mtumie tumie kupunguza nja huku ukijisort.
 
Wewe unataka nini sasa? Hivi point ya mahusiano ni nini besides sex? I see nothing wrong with that.
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Hakutaki unalazimisha nini au mpaka utungiwe wimbo?
 
Jiamini bibie, usikae ukawaza una sura mbaya au shape mbaya, mwanamke kuringa
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Ukipewa bure na unatoa bure ni sawa. Mapenzi yako kwake na yeye kwako yapo sawa tu tatzo kuna mambo unataka yaende kwa haraka sana. Hapo ukute unataka ndoa na mwamba ana kusoma kwanza
 
Ukipewa bure na unatoa bure ni sawa. Mapenzi yako kwake na yeye kwako yapo sawa tu tatzo kuna mambo unataka yaende kwa haraka sana. Hapo ukute unataka ndoa na mwamba ana kusoma kwanza
Sitaki ndoa natka anijali
 
Back
Top Bottom