Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuleta mrejeshoMkuu usicheke,
ahahaha,toa ushauri nimtumie na ya kutolea au
Hizo amri zimechakachuliwa sio zile za agano la kale ya zamaniUkimwendekeza huyu kuna amri mojawapo hapa inakwenda kudabuliwa. Sad!
View attachment 1854213
Ukiweza kaanzishe sredi jukwaa la dini mjadili huko. Itakuwa sredi nzuri [emoji122][emoji122][emoji122]Hizo amri zimechakachuliwa sio zile za agano la kale ya zamani
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Opportunist at work hahah😃😄😄Nimecheka sana, hebu mtumie jedwali hilo hapo chiniView attachment 1854212
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ukimwendekeza huyu kuna amri mojawapo hapa inakwenda kudabuliwa. Sad!
View attachment 1854213
Mimi nashauri msaidie, kwani mkiachana ndio msisaidiene tena jaman? hasa kwenye matatizo makubwa namna hii? acheni hizo bhana hebu mtumie na ya kutolea kabisa au umtumie kwenye bank account yake inakuwa cheap kidogoMkuu usicheke,
ahahaha,toa ushauri nimtumie na ya kutolea au
Mkuu hizi kwa mujibu wa nani kwa sababu mi najua usizini ni amri ya sita !!!Ukimwendekeza huyu kuna amri mojawapo hapa inakwenda kudabuliwa. Sad!
View attachment 1854213
Unasubiri nn kumtukana? Si ana mume sasa kivipi anaenda kuomba msaada kwako??? ila nadhani ana sababu ndomaana kakuomba ww maana kama zamani alikuwa anakula tuu hela zako na hakukubalii ombi lako basi anajua kwako zipo tu za bwerereeeee kwahyo mzee toa 85K zitamtosha na ya kutolea hapo si unajua makato ya uchumi wa kati yameongezeka?Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kaanzishe sredi jukwaa la dini mjadili huko. Itakuwa sredi nzuri [emoji122][emoji122][emoji122]
Google: Amri 10 za Mungu utapata ma/jibu.Mkuu hizi kwa mujibu wa nani kwa sababu mi najua usizini ni amri ya sita !!!
Mtumie tu, tena tuma 100k akikujibu imefika mblock kabisaMkuu usicheke,
ahahaha,toa ushauri nimtumie na ya kutolea au
Kwani ushabakisha ngapi hapo..!? Au moja tu ya kujua..!,Sio mbili wapo kweli...X na VII...?[emoji6][emoji6]