Anaomba nimsaidie pesa, sitampa maana kipindi cha mahusiano yetu hakuwahi kunipa penzi

Anaomba nimsaidie pesa, sitampa maana kipindi cha mahusiano yetu hakuwahi kunipa penzi

Unasubiri nn kumtukana? Si ana mume sasa kivipi anaenda kuomba msaada kwako??? ila nadhani ana sababu ndomaana kakuomba ww maana kama zamani alikuwa anakula tuu hela zako na hakukubalii ombi lako basi anajua kwako zipo tu za bwerereeeee kwahyo mzee toa 85K zitamtosha na ya kutolea hapo si unajua makato ya uchumi wa kati yameongezeka?
Ah! Wap, hapo bado ujajumlisha na Kodi ya uzalendo, itafika Laki 😜
 
Mimi nashauri msaidie, kwani mkiachana ndio msisaidiene tena jaman? hasa kwenye matatizo makubwa namna hii? acheni hizo bhana hebu mtumie na ya kutolea kabisa au umtumie kwenye bank account yake inakuwa cheap kidogo

Mimi siwezi achana na mtu niwe na huo moyo wako,,,unless kuna kitu hujatueleza hapa

Teh teh
😂Sasa mkuu si utakuwa uzezeta kumtumia pesa mtu ambae miaka hiyo amenichunaa hata penzi lake sijapewa , zaidi ya miaka kumi hatujaonana,na keshaolewa,Leo nimpe kiasi hiko Cha pesa,

Hiyo wanaweza watani zangu wasukuma kwakweli, mimi siwezi kuchunwa tena,
 
😂Sasa mkuu si utakuwa uzezeta kumtumia pesa mtu ambae miaka hiyo amenichunaa hata penzi lake sijapewa , zaidi ya miaka kumi hatujaonana,na keshaolewa,Leo nimpe kiasi hiko Cha pesa,

Hiyo wanaweza watani zangu wasukuma kwakweli, mimi siwezi kuchunwa tena,
Hujachunwa bhana ulitoa kwa upendo wako tu,,,kusaidia mtu ni thawabu kwa Mungu,,,fanya kama unatoa sadaka
 
Huyo mama kakudharau, inaonekana kipindi hiko ulikuwa bogus, ndo maana anaendelea kukufanyia ujinga waziwazi,
 
Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......

Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]

Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....

Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa

Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
 
Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......
Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]
Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....
Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa
Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
Alikuona kiazi sana
 
Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......
Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]
Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....
Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa
Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
Ww ni MUJINGA
 
Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.
Mtumie chap hiyo hela, kisha mblock.
 
Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.
Mwambie nataka kuja msibani nakuletea hukohuko ,nipe ramani nafikaje
 
Alishakuona mdhaifu wake anajua huchomoi kama ilivokuwa zamani,mwambie uchumi ni mbaya u have nothing to lose otherwise unamtamani,maana suala la kukuomba hela linakuumiza akili utasema ni mtu wako wa karibu na wakati mmekutana mtandaoni kwa bahati mbaya
 
Kama ameolewa kwann asiongee na Jamaa ake aisee???

Sisi wanaume najua tunajikuta tunatuma tu ani ili tusionekane mambo hayajakaa sawa kimfuko[emoji23]

Kikubwa hapo fanya unayo hiyo 80k fasta rudi home nenda kampe mke 50k hiyo 30k chukua mazaga ya nyumbani nenda nayo home enjoy diko tamu na wife maisha yaendelee

Huyo hana maajabu yoyote kwako aisee zaidi sana atakutia hasara maana hapo moyoni anajisifu sponsor wake umerudi Kwenye 18 zake
Point kubwa hapa ni sponsor kurud kwenye 18 zake afu sponsor mwenyewe anavimba kichwa utashangaa hata bibie hana msiba
 
Back
Top Bottom