- Thread starter
- #21
Mapema tuPiga chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema tuPiga chini
Itoshe kusema Happy ni mjasiriamali😁😁"Mapenzi ni hela vingine mnaelekezana" Happy bhana🤣🤣🤣
WaPo humu hawawezi kuwaambia Haya maneno mademu zao Mimi sifagilii chupi zisizo jielewaKwahy hapo na hilo ngonjera ndo umemchana 😂 mwenzako yuko kwenye biashara afu ety unasema umemchana 😂
Na haogopi kupoteza huo uhusianoIsitoshe kusema Happy ni mjasiriamali😁😁
Nitumie Buku tano kama Hela ya udalali alafu nakupa namba YakeNipe namba yake nimpe hiyo hela
kweli Mimi ni apeche alolo Sio uongoAcha ujinga wa kujiliza maneno kibao mtu kashakuambia toa hela unaanza kuelezea maneno kibao hapo kashakuona wewe ni apeche alolo
Mkuu,yaan ilitakiwa tu umwambie jibu fupi kuwa huna Hela. Ila kujitetea kote huko na kujifanya unamshauri Kwa meseji ndefuu ila yeye amekujibu Kwa meseji fupi sana ambayo nahisi imekuumiza kihisia kwani amereact positively.Njoo nikupe namba Yake ukampe Hela ili Isiwe mdhaifu kama mm
Ungevunga tu sio kujielezea sanaNi
kweli Mimi ni apeche alolo Sio uongo
Huyo ni toto au bibi yake totovijana tafuteni hela acheni kulialiaa ...mwenzenu nipo naenjoyyy holiday apaa na totoz za mjinii
View attachment 3183872
Sasa mm mbona sijaona ulipomchana mana happy yeye ameenda straight kabisa kuwa yupo kibiashara.WaPo humu hawawezi kuwaambia Haya maneno mademu zao Mimi sifagilii chupi zisizo jielewa
wewe vipi konakona zipo au hazipo..?Ila Happy😂 , Yuko straight hana konakona
Cc. LIKUDHuyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Hana mda wa kupoteza😂🙌"Mapenzi ni hela vingine mnaelekezana" Happy bhana🤣🤣🤣
Hahhaha Kweli mkuuDa Happy yupo kwako kimaslahi tu, hana fyucha na wewe. Mdada akikupenda hawezi kukuandikia namna hiyo.
So sad kwamba vijana watajichukulia sheria hadi viganja viote sugu, mbususus have a price, nothing's offered for free anymore.