Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Da Happy yupo kwako kimaslahi tu, hana fyucha na wewe. Mdada akikupenda hawezi kukuandikia namna hiyo.

So sad kwamba vijana watajichukulia sheria hadi viganja viote sugu, mbususus have a price, nothing's offered for free anymore.
 
Back
Top Bottom