Uje kwanza ununue simu nimeipostwewe vipi konakona zipo au hazipo..?
Huyo ni mjasiliamwili sio mjasiliamaliItoshe kusema Happy ni mjasiriamali😁😁
Sio kwamba da happy anajielewa, ila yeye yupo sokoni na jamaa amepanic. Ndio maana da happy anacheka baada ya kusoma gazeti la mwamba.Ukisoma vizuri majibizano yenu yeye-mwanamke anaonekana anajielewa sana kuliko wewe uliyeandaa haya zote hizo.
😁Huyo ni mjasiliamwili sio mjasiliamali
jibu kwanza acha ujanja ujanjaUje kwanza ununue simu nimeipost
Mwamba (mtoa mada) amefeli jambo moja tu, kama mwanamke anakuomba hela na unaona hakuna haja ya kumpa unapiga kimya na si kuandika paragraph ndefu.Sio kwamba da happy anajielewa, ila yeye yupo sokoni na jamaa amepanic. Ndio maana da happy anacheka baada ya kusoma gazeti la mwamba.
huyu ni maskini!Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Sawa ahsante sanahuyu ni maskini!
achana na ombaomba huyo!
Hapana mkuu ana wazazi asinipe majukumu YakeHappy kanyooka hana kona kona🤣🤣🤣
Mkuu acha uchoyo, mpe hela bwana.
Sahihi kabisa mkuu,Mwamba (mtoa mada) amefeli jambo moja tu, kama mwanamke anakuomba hela na unaona hakuna haja ya kumpa unapiga kimya na si kuandika paragraph ndefu.
Umejua mwanamke anauza ukienda kubali kununua hata kwa bargain, ukishindwa ondoka ki-jentromeni😂😂
Hahaha sawa kaka pamoja sanaHahahahaa nilijua amekulisha tofali kaka. Basi bado upo position nzuri.
Mie nishavuka huko mkuujibu kwanza acha ujanja ujanja
wewe upo wapi..?Mie nishavuka huko mkuu