Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Huyo binti nipe namba yake nimfanyie nusra!!Hata waislam kilio ni kile kile kuna binti namfahamu mkali sana kasoma sheria na ametulia swala 5 lakini amedoda hana mume analia machozi kabisa,
Kwenye usingo mama naona ni mbwembwe tu za humu ika mtaani wanaoleka sana tu, hapo ndipo maajabu yanaongezeka zaidi,
Uko serious?Huyo binti nipe namba yake nimfanyie nusra!!
Yap!Uko serious?
NitakupmYap!
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Hapo wanawake wengi ndo huyumba kujiona Kuwa warembo the end of day wanaishia kuzalishwa na ma Play Boy na kutelekezwa wanabaki single mother,
Ukweli usiopingika mwanamke akisha fikisha miaka 29 kuolewa ni ngumu sana Yani hapo mpka asugue bench, kwa saiv kizazi Cha Miaka 90 kilishatoka kwenye soko kinacho sumbua ni kizazi Cha 2000
Kwaiy hao Cousin wako watulize pressure wamuonbe Mungu haya mamb yanahitaji akili