Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Ni kweli.

Pia social medias imefanya kuwa vigumu kwa baadhi ya wanawake kuolewa. Kuna wanaume wanamfatilia Andrew Tate, Hawa wa aina hii hawawezi oa mtu aliyewazidi Kila kitu for the sake of ndoa. Pia hapa JF masingle mom wanapigwa vita na kibaya zaidi inasambazwa Hadi mtaani hasahasa mijini.

Kosa wanalofanya wanawake wengi wanajaribu kuhustle kwa nguvu kwenye elimu na biashara na wanaexpect watapata the same guy with the same qualities alafu wanawakosa. Pia wale wanaume walioexperience kuoa wanawake wenye viburi kutokana na kasoro za kielimu, kiuchumi vya wanaume na kuzitoa mtandaoni imewafumbua macho vijana ndo maana sekta ya ndoa inakuwa ngumu hasahasa kwa Wakristo, Waislamu kwao hakuna shida.
Andrew Tete yule ni Mwamba aisee... Anatupa madini ya Dunia yule jamaa anafundisha Thamani ya mwanaume binafsi nimevijua vitu vingi sana kupitia kwake kuja kuteswa na mwanamke
Mungu mwenyew anajua
 
Andrew Tete yule ni Mwamba aisee... Anatupa madini ya Dunia yule jamaa anafundisha Thamani ya mwanaume binafsi nimevijua vitu vingi sana kupitia kwake kuja kuteswa na mwanamke
Mungu mwenyew anajua
Yule kwangu ni shujaa. Anafundisha masculinity na ukweli na uhalisia.

Ukimsikiliza , hutokuja kutawaliwa na pia utakuwa na uhusiano bora na ndoa Bora.
 
Cousins waliamini wao wana mionekano mizuri, sasa waliokuwa wanawaona km hawavutii wote tumeshakula ubwabwa, hawaamini macho yao, 28 29 hujawahi kuolewa lazima stress zikutafune tu,,
Hapo wanawake wengi ndo huyumba kujiona Kuwa warembo the end of day wanaishia kuzalishwa na ma Play Boy na kutelekezwa wanabaki single mother,
Ukweli usiopingika mwanamke akisha fikisha miaka 29 kuolewa ni ngumu sana Yani hapo mpka asugue bench, kwa saiv kizazi Cha Miaka 90 kilishatoka kwenye soko kinacho sumbua ni kizazi Cha 2000
Kwaiy hao Cousin wako watulize pressure wamuonbe Mungu haya mamb yanahitaji akili
 
Kwa hali ilivyo tutakuwa watiifu tu, cousins walikuwa hawashikiki kuna mmoja ilifikia hatua km huna iPhone hawezi kusave namba yako, saiv wanatia huruma kinoma nyie nyieee
Ni huzuni. Labda angekuwa ameolewa kama asingekuwa na hayo mambo ila pia simlaumu kwa kuwa ni nature ya mwanamke yeyote kutaka mwanaume bora wanaoitwa Alpha males. Hii kitu ni universal.

Tatizo Alpha males wengi ni playboys, wachache sana wametulia alafu wale nice guys wanaonekana kama wapuuzi, old fashioned na hawana mambo mengi, hawana drama.

Kiufupi anahitaji psychological healing maana kutokuolewa haimaanishi huna thamani, anabidi abadilishe tabia zake na akubali awe chini kidogo.
 
Hapo wanawake wengi ndo huyumba kujiona Kuwa warembo the end of day wanaishia kuzalishwa na ma Play Boy na kutelekezwa wanabaki single mother,
Ukweli usiopingika mwanamke akisha fikisha miaka 29 kuolewa ni ngumu sana Yani hapo mpka asugue bench, kwa saiv kizazi Cha Miaka 90 kilishatoka kwenye soko kinacho sumbua ni kizazi Cha 2000
Kwaiy hao Cousin wako watulize pressure wamuonbe Mungu haya mamb yanahitaji akili
Wanaolewa hao unaoita wazee kwa taarifa tu nikupe

hao cousins bado wanalipa sema ndo hivyo agemate,schoolmate wenzao karibia wote wameolewa wamejikuta wanabaki wao tu ndo hapo sasa wameshtuka kuanza kusaka wachumba,
 
Ni huzuni. Labda angekuwa ameolewa kama asingekuwa na hayo mambo ila pia simlaumu kwa kuwa ni nature ya mwanamke yeyote kutaka mwanaume bora wanaoitwa Alpha males. Hii kitu ni universal.

Tatizo Alpha males wengi ni playboys, wachache sana wametulia alafu wale nice guys wanaonekana kama wapuuzi, old fashioned na hawana mambo mengi, hawana drama.

Kiufupi anahitaji psychological healing maana kutokuolewa haimaanishi huna thamani, anabidi abadilishe tabia zake na akubali awe chini kidogo.
Huyo mmoja amebadilika kiasi flani mwingine ndo bado anajionyesha hana haraka ila kutoka ndani ni ana maumivu makali sana,
 
Yule kwangu ni shujaa. Anafundisha masculinity na ukweli na uhalisia.

Ukimsikiliza , hutokuja kutawaliwa na pia utakuwa na uhusiano bora na ndoa Bora.
TAte anafundisha uanaume halisi.

KUna mambo anayaongea yanasaidia hasa kwa sisi wazazi kuwalea watoto in a masculine way.
 
TAte anafundisha uanaume halisi.

KUna mambo anayaongea yanasaidia hasa kwa sisi wazazi kuwalea watoto in a masculine way.
Na Kwa Dunia ya sasahivi inayounga mkono LGBTQ, Andrew Tate ni WA muhimu sana, ukifatilia Ulaya, mashoga wengi ni nice guys ambao mademu wanawakataaga ila wao wanaowapenda na wanaotamani kuwaoa. Ni wanyenyekevu na wanaonyesha tabia za kike na wanawake hawawezi penda mtu aliye sawa na wao.
 
Wanaolewa hao unaoita wazee kwa taarifa tu nikupe

hao cousins bado wanalipa sema ndo hivyo agemate,schoolmate wenzao karibia wote wameolewa wamejikuta wanabaki wao tu ndo hapo sasa wameshtuka kuanza kusaka wachumba,
Sikuzote mwanamke akiwa mtiifu na mwenye maadili hata akiwa 29-31 years wanaolewa, hilo nimeliona, wenye viburi ndo huwa hawalambi kitu.
 
Na Kwa Dunia ya sasahivi inayounga mkono LGBTQ, Andrew Tate ni WA muhimu sana, ukifatilia Ulaya, mashoga wengi ni nice guys ambao mademu wanawakataaga ila wao wanaowapenda na wanaotamani kuwaoa. Ni wanyenyekevu na wanaonyesha tabia za kike na wanawake hawawezi penda mtu aliye sawa na wao.
Ahaha shida sana,tuendelee kuna nondo kwa akina andrew tate,jordan peterson na wadau wengine wanaofundisha uanaume halisi
 
Kuwa mke wa pili au watatu au wanne, hakuna neno. Tena wahi haraka sana.


Hata takwimu za Tanzania zinaunga mkono hilo, wanawake wengi kuliko wanaume.

Na wanaume wenyewe ndiyo hao wa arkisusi, supu za pweza na vumbi la kongo. Wengine kibao ni upinde, wanatamani waolewe wao.
Utofauti ni mdogo sana wanaume 49% wanawake 51%kimahesabu tunasema almost tuko sawa
 
Back
Top Bottom