Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Mimi huwa sifungi kula ila naupenda sana uislamu basi tu. Na dada zangu wanakua wamefunga kula ila mzigo wananipea seriously
Hapo kwenye mzigo mimi huwa nawashangaa sana, na ndipo ninapoona dini ni unafiki tu.

Kulikuwa na dada wa Kiislamu analazimisha nile mzigo, wakati wa Ramadhani, huku yeye kafunga.

Mpaka aibu nikawa naona mimi.
 
Ndoa zitawapa uchizi zama hizi, kuna ma cousin wawili wapo late 20's walikuwa slay queens miaka hii 3 iliyopita, ila kwa sasa wanahaha na kuolewa mmoja kashaanza na kwenda kwa waganga, mwingine huyo ni anatembelea na kusalimia kila ndugu anaamini huko huenda akapata mume, ni sarakasi tupu
Umeolewa?

Aisee hii ni nature, wanawake wengi wanaotafuta ndoa huwa wanatafuta future gratification. Wanataka future ya uhakika, na wanaamini Iko kwenye ndoa baada ya kuona effects za u-feminism.
 
Umeolewa?

Aisee hii ni nature, wanawake wengi wanaotafuta ndoa huwa wanatafuta future gratification. Wanataka future ya uhakika, na wanaamini Iko kwenye ndoa baada ya kuona effects za u-feminism.
Tupo nyakati ngumu sana inaonekana km story tu ila ndo uhalisia wanawake ndo wanatafuta kuolewa kwa mbinu zile zilizotumiwa na wanaume
 
Tupo nyakati ngumu sana inaonekana km story tu ila ndo uhalisia wanawake ndo wanatafuta kuolewa kwa mbinu zile zilizotumiwa na wanaume
Ni kweli.

Pia social medias imefanya kuwa vigumu kwa baadhi ya wanawake kuolewa. Kuna wanaume wanamfatilia Andrew Tate, Hawa wa aina hii hawawezi oa mtu aliyewazidi Kila kitu for the sake of ndoa. Pia hapa JF masingle mom wanapigwa vita na kibaya zaidi inasambazwa Hadi mtaani hasahasa mijini.

Kosa wanalofanya wanawake wengi wanajaribu kuhustle kwa nguvu kwenye elimu na biashara na wanaexpect watapata the same guy with the same qualities alafu wanawakosa. Pia wale wanaume walioexperience kuoa wanawake wenye viburi kutokana na kasoro za kielimu, kiuchumi vya wanaume na kuzitoa mtandaoni imewafumbua macho vijana ndo maana sekta ya ndoa inakuwa ngumu hasahasa kwa Wakristo, Waislamu kwao hakuna shida.
 
Dah! Kuna watu huwa mnaona ndo ndo maisha? Umri wa miaka 25 si mtu anawaza tu kibunda?
 
Ni kweli.

Pia social medias imefanya kuwa vigumu kwa baadhi ya wanawake kuolewa. Kuna wanaume wanamfatilia Andrew Tate, Hawa wa aina hii hawawezi oa mtu aliyewazidi Kila kitu for the sake of ndoa. Pia hapa JF masingle mom wanapigwa vita na kibaya zaidi inasambazwa Hadi mtaani hasahasa mijini.

Kosa wanalofanya wanawake wengi wanajaribu kuhustle kwa nguvu kwenye elimu na biashara na wanaexpect watapata the same guy with the same qualities alafu wanawakosa. Pia wale wanaume walioexperience kuoa wanawake wenye viburi kutokana na kasoro za kielimu, kiuchumi vya wanaume na kuzitoa mtandaoni imewafumbua macho vijana ndo maana sekta ya ndoa inakuwa ngumu hasahasa kwa Wakristo, Waislamu kwao hakuna shida.
Hata waislam kilio ni kile kile kuna binti namfahamu mkali sana kasoma sheria na ametulia swala 5 lakini amedoda hana mume analia machozi kabisa,

Kwenye usingo mama naona ni mbwembwe tu za humu ika mtaani wanaoleka sana tu, hapo ndipo maajabu yanaongezeka zaidi,
 
Ndoa Huwa inakuja yenyew wachumba mbona wapo kuamua kuolewa ni maamuz magumu yanataka utulivu wa akili na mwili na hasa ukiwa unahitaji ndoa kweli na sio show off za harus
Wadogozang waliolewa mapema mmoja tayar ana ndoa mbili Hadi Sasa 😀na mtoto juu

Rafiki yangu kaolewa last year now anadai talaka
Sioni kama kachelewa muhimu awe anajiheshimu mume atapata tu Aisee
 
Hata waislam kilio ni kile kile kuna binti namfahamu mkali sana kasoma sheria na ametulia swala 5 lakini amedoda hana mume analia machozi kabisa,

Kwenye usingo mama naona ni mbwembwe tu za humu ika mtaani wanaoleka sana tu, hapo ndipo maajabu yanaongezeka zaidi,
Wapo wanaoolewa hasahasa wale wenye utii.
 
Ndoa Huwa inakuja yenyew mm Nina miaka Zaid ya hiyo lakin wachumba mbona wapo kuamua kuolewa ni maamuz magumu yanataka utulivu wa akili na mwili na hasa ukiwa unahitaji ndoa kweli na sio show off za harus
Wadogozang waliolewa mapema mmoja tayar ana ndoa mbili Hadi Sasa [emoji3]na mtoto juu

Rafiki yangu kaolewa last year now anadai talaka
Sioni kama kachelewa muhimu awe anajiheshimu mume atapata tu Aisee
Nakutakia upate unachotaka, kwa muda unaotaka, upate heri na fanaka bila kukurupushwa na matarajio ya walimwengu, kwa kufuata ratiba na matakwa yako mwenyewe.
 
Ndoa zitawapa uchizi zama hizi, kuna ma cousin wawili wapo late 20's walikuwa slay queens miaka hii 3 iliyopita, ila kwa sasa wanahaha na kuolewa mmoja kashaanza na kwenda kwa waganga, mwingine huyo ni anatembelea na kusalimia kila ndugu anaamini huko huenda akapata mume, ni sarakasi tupu
Mbona huo umri Bado sanaa.
Sema mabinti kadri umri unavyo zaidi kwenda ndo ile pressure ya kuto olewa inaongezeka na wengi wao hapo ndo wanajichanganya Sasa kila mwanaume akija anaona atamuoa,,,
Hao Cousin zako Bado ila sometimes ni vizuri kupata mchumba mapema
 
Mbona huo umri Bado sanaa.
Sema mabinti kadri umri unavyo zaidi kwenda ndo ile pressure ya kuto olewa inaongezeka na wengi wao hapo ndo wanajichanganya Sasa kila mwanaume akija anaona atamuoa,,,
Hao Cousin zako Bado ila sometimes ni vizuri kupata mchumba mapema
Cousins waliamini wao wana mionekano mizuri, sasa waliokuwa wanawaona km hawavutii wote tumeshakula ubwabwa, hawaamini macho yao, 28 29 hujawahi kuolewa lazima stress zikutafune tu,,
 
You know I gotta bring some scholarship into this.

Wanazuoni wamechambua faida za ndoa za mitala hapa. Tena kwa utafiti uliofanyika Tanzania.



Often decried, polygyny may sometimes have advantages

Date:October 29, 2015
Source:University of California - Davis

Summary:The practice of sharing a husband may, in some circumstances, lead to greater health and wealth for women and their children, new research suggests. And polygyny--where one husband has more than one wife--is decried by the United Nations Human Rights Committee and women's rights organizations as discriminatory to women.
 
Back
Top Bottom