Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Nina rafiki yangu kwasasa ametimiza miaka 25 lakini wadogo zake wameolewa ambao ni watoto wa mjomba ake sasa yeye kwa sasa anafanya kazi hizi za kujitolea katika shirika X kwahiyo kuna muda anakua anatamani kuwa na mume au mchumba ambaye ana nia ya kumuoa sasa the bad thing ni kwamba hana mchumba ambaye yupo serious kwahiyo anajiona yupo singo tu kwasababu hajawahi kutolewa barua, Na umri unaenda watu wanamwambia ukichelewa kuzaa utapata tabu.

Kwahiyo hivi karibu amekua akipata watu kumtongoza ila MUME ZA WATU NA anasema kuna mmoja yupo serious anataka kumuoa ila anaogopa kwao watamshangaa kwasababu umri wake kuingia ndoa ya matala ni kitu kigumu. Na pia huyo mwanaume ana umri wa miaka 41.

Anaomba ushauri je asubiri tu azidi kuomba mungu agampa kijana mwenzie au akubali kuolewa ndoa ya uke wenza??


Mimi sio muislam lakini siwezi kumshauri msichana kuwa mke wa pili wa mtu. Vilevile nashauri asikimbilie kuolewa haraka ajiendeleze kama ni elimu au biashara kwanza akae vizuri. Mwenye wawili kesho atataka watatu kesho kutwa wanne🤔 kuweni makini kufuata mkumbo.

Usikokuwa makini utakuwa umeachika ukifika 30 na watoto halafu kutafuta mume hapo itakuwa ngumu zaidi. Ni bora uwe 30 single na maisha yanaeleweka🤔
 
Nina rafiki yangu kwasasa ametimiza miaka 25 lakini wadogo zake wameolewa ambao ni watoto wa mjomba ake sasa yeye kwa sasa anafanya kazi hizi za kujitolea katika shirika X kwahiyo kuna muda anakua anatamani kuwa na mume au mchumba ambaye ana nia ya kumuoa sasa the bad thing ni kwamba hana mchumba ambaye yupo serious kwahiyo anajiona yupo singo tu kwasababu hajawahi kutolewa barua, Na umri unaenda watu wanamwambia ukichelewa kuzaa utapata tabu.

Kwahiyo hivi karibu amekua akipata watu kumtongoza ila MUME ZA WATU NA anasema kuna mmoja yupo serious anataka kumuoa ila anaogopa kwao watamshangaa kwasababu umri wake kuingia ndoa ya matala ni kitu kigumu. Na pia huyo mwanaume ana umri wa miaka 41.

Anaomba ushauri je asubiri tu azidi kuomba mungu agampa kijana mwenzie au akubali kuolewa ndoa ya uke wenza??

Mpe namba yangu 0718354557
 
Kuwa mke wa pili au watatu au wanne, hakuna neno. Tena wahi haraka sana.


Hata takwimu za Tanzania zinaunga mkono hilo, wanawake wengi kuliko wanaume.

Na wanaume wenyewe ndiyo hao wa arkisusi, supu za pweza na vumbi la kongo. Wengine kibao ni upinde, wanatamani waolewe wao.

Kwani wewe ni Mke wa ngapi?
 
Wana utamu fulani wa asili yaani wanajua kumfanya mwanaume afurahi. Watajifukiza kujichora kudeka kurembua macho kuringisha wengine kua ana mwanaume , wanajua kupika e bana ee ni vingi Mimi ni mgalatia ndoa yangu ya kigalatia ila nikitaka kupiga pafu ni Kwa dada zetu wapo vizuri.... inshallah ipo siku nitaoa
Wewe watakusilimisha sasa hivi.
 
Nina rafiki yangu kwasasa ametimiza miaka 25 lakini wadogo zake wameolewa ambao ni watoto wa mjomba ake sasa yeye kwa sasa anafanya kazi hizi za kujitolea katika shirika X kwahiyo kuna muda anakua anatamani kuwa na mume au mchumba ambaye ana nia ya kumuoa sasa the bad thing ni kwamba hana mchumba ambaye yupo serious kwahiyo anajiona yupo singo tu kwasababu hajawahi kutolewa barua, Na umri unaenda watu wanamwambia ukichelewa kuzaa utapata tabu.

Kwahiyo hivi karibu amekua akipata watu kumtongoza ila MUME ZA WATU NA anasema kuna mmoja yupo serious anataka kumuoa ila anaogopa kwao watamshangaa kwasababu umri wake kuingia ndoa ya matala ni kitu kigumu. Na pia huyo mwanaume ana umri wa miaka 41.

Anaomba ushauri je asubiri tu azidi kuomba mungu agampa kijana mwenzie au akubali kuolewa ndoa ya uke wenza??
Miaka 25 anataka kushare boloyoung. mwambie atulie kwanza.
 
Kuwa mke wa pili au watatu au wanne, hakuna neno. Tena wahi haraka sana.


Hata takwimu za Tanzania zinaunga mkono hilo, wanawake wengi kuliko wanaume.

Na wanaume wenyewe ndiyo hao wa arkisusi, supu za pweza na vumbi la kongo. Wengine kibao ni upinde, wanatamani waolewe wao.
Kwa mshahara huu huu wa Mwamedi enterprises laki tatu kwa mwezi au?
 
Ni zama za wanaume kuringia uanaume wao hali si shwari huku kitaa,, 25 yuko tayari kuolewa mke wa pili!!!!! Asalaleee hebu ngoja nikambebishe wa kwangu
 
Back
Top Bottom