Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Itakuwa anavutiwa na kule kujisitiri kwao kwa mavaziWadada wa Kiislamu unawaelewa vipi mkuu?
Kwenye mfungo huwa wanakupatia mambo au unawekwa bench mpaka mfungo uishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa anavutiwa na kule kujisitiri kwao kwa mavaziWadada wa Kiislamu unawaelewa vipi mkuu?
Kwenye mfungo huwa wanakupatia mambo au unawekwa bench mpaka mfungo uishe?
wakati sahihi ni wakati wa bwana sawa.Asubiri subiri walau afike miaka 32 huku akiongeza kipato chake.
Nje ya mada Mkuu, wewe uliolewa ukiwa na Umri gani?
Wanasema wakati sahihi ni wakati wa Bwana Mungu 🙏
Ina maana hao cousin wako hawatongozwi? KapeaceNdoa zitawapa uchizi zama hizi,, kuna ma cousin wawili wapo late 20's walikuwa slay queens miaka hii 3 iliyopita,, ila kwa sasa wanahaha na kuolewa mmoja kashaanza na kwenda kwa waganga, mwingine huyo ni anatembelea na kusalimia kila ndugu anaamini huko huenda akapata mume,, ni sarakasi tupu
Hadi anataka kulazimisha kuolewa mke wa pili ina maana wakati wake bado haujatimia.wakati sahihi ni wakati wa bwana sawa.
Haya wewe umejuaje kuwa 25yrs wakati wa bwana bado haujafika ?
Washauri tu wawe kama wewe.Ndoa zitawapa uchizi zama hizi,, kuna ma cousin wawili wapo late 20's walikuwa slay queens miaka hii 3 iliyopita,, ila kwa sasa wanahaha na kuolewa mmoja kashaanza na kwenda kwa waganga, mwingine huyo ni anatembelea na kusalimia kila ndugu anaamini huko huenda akapata mume,, ni sarakasi tupu
Kwanza tungetaka kujua ni dini gani?Nina rafiki yangu kwasasa ametimiza miaka 25 lakini wadogo zake wameolewa ambao ni watoto wa mjomba ake sasa yeye kwa sasa anafanya kazi hizi za kujitolea katika shirika X kwahiyo kuna muda anakua anatamani kuwa na mume au mchumba ambaye ana nia ya kumuoa sasa the bad thing ni kwamba hana mchumba ambaye yupo serious kwahiyo anajiona yupo singo tu kwasababu hajawahi kutolewa barua , Na umri unaenda watu wanamwambia ukichelewa kuzaa utapata tabu.
Kwahiyo hivi karibu amekua akipata watu kumtongoza ila MUME ZA WATU NA anasema kuna mmoja yupo serious anataka kumuoa ila anaogopa kwao watamshangaa kwasababu umri wake kuingia ndoa ya matala ni kitu kigumu. Na pia huyo mwanaume ana umri wa miaka 41.
Anaomba ushauri je asubiri tu azidi kuomba mungu agampa kijana mwenzie au akubali kuolewa ndoa ya uke wenza??
KumbeMbona miaka 25 bado mdogo, nadhani angejikita kwenye utafutaji zaidi huku akisubiri Chaguo lake
Hakuna kitu wanaume wanakwepa kwasasa kama kuoa Mwanamke tegemezi
hamna atakuja kujutia hiyo nafasiMuislamu na mwenyewe anasema hapendi kuzini kabisa ila ikitokea huwa bahati mbaya na ana muda hajafanya ndomana anataka mume
😂😂😂Ana miaka 5 tu ya kuwa na options kabla ya "Ili mradi awe anapumua".
Wana utamu fulani wa asili yaani wanajua kumfanya mwanaume afurahi. Watajifukiza kujichora kudeka kurembua macho kuringisha wengine kua ana mwanaume , wanajua kupika e bana ee ni vingi Mimi ni mgalatia ndoa yangu ya kigalatia ila nikitaka kupiga pafu ni Kwa dada zetu wapo vizuri.... inshallah ipo siku nitaoaWadada wa Kiislamu unawaelewa vipi mkuu?
Kwenye mfungo huwa wanakupatia mambo au unawekwa bench mpaka mfungo uishe?
Tena ni Classmate kabisa.Nipe namba yake mwaka huu hauishi namuoa
Mie niliachika na nikaolewa tena nikawaacha wanambwelaWashauri tu wawe kama wewe.
Teach them how twist shit around.Mie niliachika na nikaolewa tena nikawaacha wanambwela
Hawatichiki acha wale jeuri yao kwanzaTeach them how twist shit around.
That's reality, anaweza akashindwa kusema ukweli but huu ni kweli wenyewe.Kumbe
Sio poa. Halafu ukiachwa tena nitakuoa mimi. Fanya figisu basi huko.Hawatichiki acha wale jeuri yao kwanza