Anawaza VICOBA na Marejesho maliza uende ushirikiano Sifuri6.Mke kukosa ubunifu kitandani unakuta li mwanamke linakuchezea makende linayavuta utafikili linawasha jenereta mara nyingine likilala chali halitoi milio yoyote wala halibinui macho linakutazama unavyohanamgaika mpaka dudu linazima.
Dah umeandika Kwa Hisia Sana Hadi nimecheka [emoji81][emoji81][emoji81]Ukiacha na wanaume wazinzi in nature mara nyingi wanaume wanapushiwa kuchepuka kwa sababu ya tabia za wake zao.Tabia hizo ni
1.Makelele
2.Uchafu
3.Mke kutaka kuwa mtawala wa nyumba a.k.a ubabe
4.Laxk of appreciation yaani unakuta mume anajituma kuihudumia familia ila li mke hata halioni wala kumpa moyo badala yake anapongezwa huko nje mke lipo busy kusifiwa wanaume wengine huko nje na majirani.
5.Uchafu wa mke unakuta li mke limejipwatika balazani bila sidiria minywele imekaa hovyo dela kubwa mpaka linaburuza vumbi na hajali wala nini mpaka mume anahisi ameoa li chizi
6.Mke kukosa ubunifu kitandani unakuta li mwanamke linakuchezea makende linayavuta utafikili linawasha jenereta mara nyingine likilala chali halitoi milio yoyote wala halibinui macho linakutazama unavyohanamgaika mpaka dudu linazima.
6
Mimi ntakushauri uachane na huyo mwanaume ila mane Tu upande wa child support...Habari wana Jukwaa,
Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa yetu. Kwa kweli, nilijaribu kuvumilia hali hiyo, lakini mwisho wa siku, niliamua haiwezekani tena na tukatengana.
Niliondoka na watoto wetu, na nikaendelea na maisha yangu. Lakini, tangu nilipoondoka, mambo yamekuwa magumu sana kwangu. Hata hivyo, nimekuwa nikifuatilia maisha ya mume wangu wa zamani na kugundua kwamba anaishi vizuri sana. Alioa tena na sasa ana mtoto mwingine.
Jambo hili linaniumiza sana. Mara kwa mara najikuta nikijiuliza kama niliamua vizuri kuachana naye. Pengine kama ningevumilia, angebadilika na tungeweza kuwa na familia yenye furaha. Kwa upande mwingine, sitaki kurudisha watoto wangu ili walelewe na mama mwingine. Ni jambo gumu sana kwangu kuelewa kama nilifanya uamuzi sahihi au la. Imefika hatua natamani hata kuwa mchepuko kwa mume wangu ili maisha yaende.
Naomba ushauri wenu wana Jukwaa. Asanteni.
HahahaaaUkiacha na wanaume wazinzi in nature mara nyingi wanaume wanapushiwa kuchepuka kwa sababu ya tabia za wake zao.Tabia hizo ni
1.Makelele
2.Uchafu
3.Mke kutaka kuwa mtawala wa nyumba a.k.a ubabe
4.Laxk of appreciation yaani unakuta mume anajituma kuihudumia familia ila li mke hata halioni wala kumpa moyo badala yake anapongezwa huko nje mke lipo busy kusifiwa wanaume wengine huko nje na majirani.
5.Uchafu wa mke unakuta li mke limejipwatika balazani bila sidiria minywele imekaa hovyo dela kubwa mpaka linaburuza vumbi na hajali wala nini mpaka mume anahisi ameoa li chizi
6.Mke kukosa ubunifu kitandani unakuta li mwanamke linakuchezea makende linayavuta utafikili linawasha jenereta mara nyingine likilala chali halitoi milio yoyote wala halibinui macho linakutazama unavyohanamgaika mpaka dudu linazima.
6
Sababu ilikuwa anachepuka sana au alikuwa Hana pesa??!Inawezekana kabisa wewe ndiye ukiyekuwa nyota ya giza kwake. Na ulipoondoka akapata mke mwenye nyota ya nuru na riziki. Sasa imemng'arisha na mambo yako safi. Ni afadhali sana ulivyoondoka. Ungeendelea kubaki maisha yenu yangeliendelea kuwa magumu zaidi. Na ikiwa utarudi ktk maisha yake kwa njia yoyote ile utasababisha arudi kule mlipotoka na mwishowe ashindwe hata kutoa matunzo ya watoto. Kaa naye mbali. Peleka gundu lako baharini.
Unakuta umeoa li mke lina makele kama vuvuzela alafu ukienda Bar unadekezwa na barmaid mpaka unahisi umekosea kuoaDah umeandika Kwa Hisia Sana Hadi nimecheka [emoji81][emoji81][emoji81]
Kama hamkuachana kwa ubaya mtafute ongea nae akusaidie kiuchumi kwa sababu una watoto sidhani kama atakataaHabari wana Jukwaa,
Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa yetu. Kwa kweli, nilijaribu kuvumilia hali hiyo, lakini mwisho wa siku, niliamua haiwezekani tena na tukatengana.
Niliondoka na watoto wetu, na nikaendelea na maisha yangu. Lakini, tangu nilipoondoka, mambo yamekuwa magumu sana kwangu. Hata hivyo, nimekuwa nikifuatilia maisha ya mume wangu wa zamani na kugundua kwamba anaishi vizuri sana. Alioa tena na sasa ana mtoto mwingine.
Jambo hili linaniumiza sana. Mara kwa mara najikuta nikijiuliza kama niliamua vizuri kuachana naye. Pengine kama ningevumilia, angebadilika na tungeweza kuwa na familia yenye furaha. Kwa upande mwingine, sitaki kurudisha watoto wangu ili walelewe na mama mwingine. Ni jambo gumu sana kwangu kuelewa kama nilifanya uamuzi sahihi au la. Imefika hatua natamani hata kuwa mchepuko kwa mume wangu ili maisha yaende.
Naomba ushauri wenu wana Jukwaa. Asanteni.
Ferminists walimjaza upepo na makongamano yao ya super woman sijui wanawake wanaweza. Jadda na Guantanamoh haya sasa mnayoyaubiri kila siku mwenzenu kayafanyia kazi, ni matumaini yangu mtamsaidia ajira aweze kujikimu mahitaji yake na watotoHauna akili sisi wanaume sio kila mwanamke tunayemkojolea huwa tunampenda huwa ni tamaa tu ndo inatuongoza ungebaki na ndoa yako ona sasa watoto wanateseka kwa sababu ya ujinga wako. wanawake wengine akili zinakaaga matakoni ndo maana yanafutuka daily.
Alokwambia mwanaume ni ajira nani?Ferminists walimjaza upepo na makongamano yao ya super woman sijui wanawake wanaweza. Jadda na Guantanamoh haya sasa mnayoyaubiri kila siku mwenzenu kayafanyia kazi, ni matumaini yangu mtamsaidia ajira aweze kujikimu mahitaji yake na watoto
Sasa wewe umemiacha kisa michepuko alaf unataka uwe mchepuko tafuta mwanaume asie na michepukoHabari wana Jukwaa,
Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa yetu. Kwa kweli, nilijaribu kuvumilia hali hiyo, lakini mwisho wa siku, niliamua haiwezekani tena na tukatengana.
Niliondoka na watoto wetu, na nikaendelea na maisha yangu. Lakini, tangu nilipoondoka, mambo yamekuwa magumu sana kwangu. Hata hivyo, nimekuwa nikifuatilia maisha ya mume wangu wa zamani na kugundua kwamba anaishi vizuri sana. Alioa tena na sasa ana mtoto mwingine.
Jambo hili linaniumiza sana. Mara kwa mara najikuta nikijiuliza kama niliamua vizuri kuachana naye. Pengine kama ningevumilia, angebadilika na tungeweza kuwa na familia yenye furaha. Kwa upande mwingine, sitaki kurudisha watoto wangu ili walelewe na mama mwingine. Ni jambo gumu sana kwangu kuelewa kama nilifanya uamuzi sahihi au la. Imefika hatua natamani hata kuwa mchepuko kwa mume wangu ili maisha yaende.
Naomba ushauri wenu wana Jukwaa. Asanteni.
😀😀😀 ferminists bhana mshampoteza maboya mwenzenu ndio mnamuita muoga. Mpeni mchongo mwanamke mwenzenu atakufa njaaAlokwambia mwanaume ni ajira nani?
Wanawake wengi wako kwenye ndoa ila wanaishi kama wajane! Hata mia hawapewi na wanaume zai hawawatunzi wanakomaa na ndoa.
Huyo anaeomba ushauri ni muoga tu. Inamaana wanawake wote wanaishi kwenye ndoa hawana vipato? We kiande kweli
Basi na wanaume wasio na kazi wala uwezo kimaisha waolewe. Kama mkombozi wa kiuchumi ni mwanaume😂 kusingekua na vilaza wa kiume usinichoshe😀😀😀 ferminists bhana mshampoteza maboya mwenzenu ndio mnamuita muoga. Mpeni mchongo mwanamke mwenzenu atakufa njaa
Tulieni nyumbani tuwahudumie mng'ae sasa mwanaume hata akichepuka as long as anahudumia familia wewe utapungukiwa nini. Acheni kupotoshana uko kwenye makongamano yenu.. iyo nafasi ya uanamume mnayoitaka hamjui sacrifices zake.Basi na wanaume wasio na kazi wala uwezo kimaisha waolewe. Kama mkombozi wa kiuchumi ni mwanaume😂 kusingekua na vilaza wa kiume usinichoshe
Stupid🚮Tulieni nyumbani tuwahudumie mng'ae sasa mwanaume hata akichepuka as long as anahudumia familia wewe utapungukiwa nini. Acheni kupotoshana uko kwenye makongamano yenu.. iyo nafasi ya uanamume mnayoitaka hamjui sacrifices zake.
I hope you heal. Nakuweka sana kwenye sala zangu ndio maana sitaki kabisa kulumbana na wewe humu. Unahitaji msaada zaidi na sio malumbano.Stupid🚮
Sasa wewe ndo ume justify kwanini huwa nawachamba humu.
Deleted01 Vishu Mtata Kisai
Mnabishaga mnasemaga mimi naongeaga negative tu. Mnaona sasa mawazo ya mwanaume mwenzenu yalivyo ya kipumbavu
Kwahiyo alichokisema huyo mwenzenu ni sahihi? Ndo maana mnauwawa arusha huko. MnastahiliI hope you heal. Nakuweka sana kwenye sala zangu ndio maana sitaki kabisa kulumbana na wewe humu. Unahitaji msaada zaidi na sio malumbano.