Anaomba Ushauri: Alisalitiwa na mume wake wakaachana, Mume akaoa na akapata Pesa. Maisha yamekuwa magumu anataka kuwa Mchepuko

Anaomba Ushauri: Alisalitiwa na mume wake wakaachana, Mume akaoa na akapata Pesa. Maisha yamekuwa magumu anataka kuwa Mchepuko

Ukiacha na wanaume wazinzi in nature mara nyingi wanaume wanapushiwa kuchepuka kwa sababu ya tabia za wake zao.Tabia hizo ni
1.Makelele
2.Uchafu
3.Mke kutaka kuwa mtawala wa nyumba a.k.a ubabe
4.Laxk of appreciation yaani unakuta mume anajituma kuihudumia familia ila li mke hata halioni wala kumpa moyo badala yake anapongezwa huko nje mke lipo busy kusifiwa wanaume wengine huko nje na majirani.
5.Uchafu wa mke unakuta li mke limejipwatika balazani bila sidiria minywele imekaa hovyo dela kubwa mpaka linaburuza vumbi na hajali wala nini mpaka mume anahisi ameoa li chizi
6.Mke kukosa ubunifu kitandani unakuta li mwanamke linakuchezea makende linayavuta utafikili linawasha jenereta mara nyingine likilala chali halitoi milio yoyote wala halibinui macho linakutazama unavyohangaika mpaka dudu linazima linakutumbulia macho utazani linaingiza uzi kwenye sindano
7.Li Mke lijuaji na libishi aloo hii nayo shida nyingine yaani nyumba inakuwa kama mahakamani au dawati la jinsia mpaka unaanza kujimiss enzi zako za ulivyokuwa single
Umemaliza 🙌
 
Hivi Mwanaume ambae anapitia hali ya kukosa kipato akichepuka wewe mke unapoteza nini?
Si umuombee tu anakochepukia iwe salama?!

Sijui mnatafutaga visingizio, sababu za kuachana sababu anakuwa amefulia?!

Haya sasa Mungu nae si Athumani, amemwinua Tena amempa riziki mantashaal 👌👌
Aibu yako @ bibie 😆😆😆
 
Muulize ujumbe ulifika?
Inawezekana kabisa wewe ndiye ukiyekuwa nyota ya giza kwake. Na ulipoondoka akapata mke mwenye nyota ya nuru na riziki. Sasa imemng'arisha na mambo yako safi. Ni afadhali sana ulivyoondoka. Ungeendelea kubaki maisha yenu yangeliendelea kuwa magumu zaidi. Na ikiwa utarudi ktk maisha yake kwa njia yoyote ile utasababisha arudi kule mlipotoka na mwishowe ashindwe hata kutoa matunzo ya watoto. Kaa naye mbali. Peleka gundu lako baharini.
 
Alokwambia mwanaume ni ajira nani?
Wanawake wengi wako kwenye ndoa ila wanaishi kama wajane! Hata mia hawapewi na wanaume zai hawawatunzi wanakomaa na ndoa.

Huyo anaeomba ushauri ni muoga tu. Inamaana wanawake wote wanaishi kwenye ndoa hawana vipato? We kiande kweli
Hizi takwimu za wanawake wengi kwenye ndoa kuishi kama wajane umetoka nazo wapi? [emoji848] Me nadhani ni muda muafaka sasa ukaacha kutunga taarifa zako.
 
Stupid[emoji706]

Sasa wewe ndo ume justify kwanini huwa nawachamba humu.
Deleted01 Vishu Mtata Kisai
Mnabishaga mnasemaga mimi naongeaga negative tu. Mnaona sasa mawazo ya mwanaume mwenzenu yalivyo ya kipumbavu.

Eti mwanaume hata akichepuka napungukiwa nini. Hivi mnadhanigi wanawake hawana mioyo au. Mngekua mna nguvu za kiume basi za
Kuwaridhisha hao wake zenu na michepuko, mkeo nyumbani hujui kama karidhika au la unaenda kuonesha ulemavu wako mitaani huko zipu hufungi kazi kupandisha gia mbovu.

Wake zenu wana wastahi sana na vilema vyenu tungesema hapa wanaume wasimame basi nyie mnaombwata mngejificha
Hivi wanawake huwa mnatatizo na wanaume kuwa na mwanamke mwingine kwa sababu zipi za msingi?


Hebu nilistie hizo sababu hapa nataka kujua kutoka kwako.

Kwa maana wanawake asilimia kubwa nimegundua mnapenda kuwa na reactions na tabia za kiume. Yaani hampogo serious na kile mnachokisema au kukizungumzia.

Je, wewe kama mwanamke hebu niwekee hapa list ya sababu. Kwasababu nikitazama Dini haijabatilisha mwanaume kuwa na mke zaidi ya m'moja ila imebatilisha mwanamke kuwa na mwanaume zaidi ya m'moja.

Wewe nipe hapa sababu hata 5 za msingi kwann mwanaume ni tatizo na sio ruhusa kuwa na mwanamke au wanawake nje ya mkewe, na mimi nitakupa sababu kwann mwanaume ana uhalali kuwa na mwanamke zaidi ya mkewe kwa mujibu wa wanavyoishi na kwann mwanamke ni kosa hata kuthubutu kumuwazia mwanaume mwingine kuwa anaweza kuwa na msaada sawa au wa kumkaribia mumewe? [emoji848]
 
Habari wana Jukwaa,

Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa yetu. Kwa kweli, nilijaribu kuvumilia hali hiyo, lakini mwisho wa siku, niliamua haiwezekani tena na tukatengana.

Niliondoka na watoto wetu, na nikaendelea na maisha yangu. Lakini, tangu nilipoondoka, mambo yamekuwa magumu sana kwangu. Hata hivyo, nimekuwa nikifuatilia maisha ya mume wangu wa zamani na kugundua kwamba anaishi vizuri sana. Alioa tena na sasa ana mtoto mwingine.

Jambo hili linaniumiza sana. Mara kwa mara najikuta nikijiuliza kama niliamua vizuri kuachana naye. Pengine kama ningevumilia, angebadilika na tungeweza kuwa na familia yenye furaha. Kwa upande mwingine, sitaki kurudisha watoto wangu ili walelewe na mama mwingine. Ni jambo gumu sana kwangu kuelewa kama nilifanya uamuzi sahihi au la. Imefika hatua natamani hata kuwa mchepuko kwa mume wangu ili maisha yaende.

Naomba ushauri wenu wana Jukwaa. Asanteni.
Maajabu ni nini, Maajabu ni alieachana na jamaa kwasababu ya michepuko yeye sasa ndio anataka kuwa mchepuko, aisee. Anyways watu wa tafiti wanasema moja ya sababu yakuwa na single mothers wengi hapa Tz ni kwamba wanawake wengi wanaachana na jamaa zao ambao hawajaoa na wakiachana nao wanaenda kudate waume za watu…
 
Basi na wanaume wasio na kazi wala uwezo kimaisha waolewe. Kama mkombozi wa kiuchumi ni mwanaume😂 kusingekua na vilaza wa kiume usinichoshe
mwanaume anapotengena na mwanamke wake, m wanaume onaondoka man alone sasa nyie wenzetu mnaachwa na mzigo wa watoto(mara nyingi hiko hivyo) sasa auoni kunatofauti hapo
 
angekuwa hajajipata ungetamani kurudi? kama jibu siyo, endelea kupambania mechi zako utashinda na furaha utaipata?
 
Habari wana Jukwaa,

Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa yetu. Kwa kweli, nilijaribu kuvumilia hali hiyo, lakini mwisho wa siku, niliamua haiwezekani tena na tukatengana.

Niliondoka na watoto wetu, na nikaendelea na maisha yangu. Lakini, tangu nilipoondoka, mambo yamekuwa magumu sana kwangu. Hata hivyo, nimekuwa nikifuatilia maisha ya mume wangu wa zamani na kugundua kwamba anaishi vizuri sana. Alioa tena na sasa ana mtoto mwingine.

Jambo hili linaniumiza sana. Mara kwa mara najikuta nikijiuliza kama niliamua vizuri kuachana naye. Pengine kama ningevumilia, angebadilika na tungeweza kuwa na familia yenye furaha. Kwa upande mwingine, sitaki kurudisha watoto wangu ili walelewe na mama mwingine. Ni jambo gumu sana kwangu kuelewa kama nilifanya uamuzi sahihi au la. Imefika hatua natamani hata kuwa mchepuko kwa mume wangu ili maisha yaende.

Naomba ushauri wenu wana Jukwaa. Asanteni.
Yaani yeye aliondoka kisa mume alichepu, leo hii anataka amchepushe mume wa mtu ili mkewe naye aondoke?
 
hayo ni mawazo yako mimi sikubaliani na vitendo vya ushoga. Wewe na mafeminia wenzako ndio mmekua mnaubiri masuala ya kwenda jino kwa jino na mwanaume mnaamini mwanaume hawezi kuwafanya watumwa maana na nyie maisha mnayaweza. Mwenzenu kafanyia kazi mafundisho yenu kwa sasa njaa inampiga msaidieni apate kazi ya kumpa mahitaji yake
jibu zuri sana
 
Ukiacha na wanaume wazinzi in nature mara nyingi wanaume wanapushiwa kuchepuka kwa sababu ya tabia za wake zao.Tabia hizo ni
1.Makelele
2.Uchafu
3.Mke kutaka kuwa mtawala wa nyumba a.k.a ubabe
4.Laxk of appreciation yaani unakuta mume anajituma kuihudumia familia ila li mke hata halioni wala kumpa moyo badala yake anapongezwa huko nje mke lipo busy kusifiwa wanaume wengine huko nje na majirani.
5.Uchafu wa mke unakuta li mke limejipwatika balazani bila sidiria minywele imekaa hovyo dela kubwa mpaka linaburuza vumbi na hajali wala nini mpaka mume anahisi ameoa li chizi
6.Mke kukosa ubunifu kitandani unakuta li mwanamke linakuchezea makende linayavuta utafikili linawasha jenereta mara nyingine likilala chali halitoi milio yoyote wala halibinui macho linakutazama unavyohangaika mpaka dudu linazima linakutumbulia macho utazani linaingiza uzi kwenye sindano
7.Li Mke lijuaji na libishi aloo hii nayo shida nyingine yaani nyumba inakuwa kama mahakamani au dawati la jinsia mpaka unaanza kujimiss enzi zako za ulivyokuwa single
Anawasha jeneretaaa..!!!
 
Habari wana Jukwaa,

Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa yetu. Kwa kweli, nilijaribu kuvumilia hali hiyo, lakini mwisho wa siku, niliamua haiwezekani tena na tukatengana.

Niliondoka na watoto wetu, na nikaendelea na maisha yangu. Lakini, tangu nilipoondoka, mambo yamekuwa magumu sana kwangu. Hata hivyo, nimekuwa nikifuatilia maisha ya mume wangu wa zamani na kugundua kwamba anaishi vizuri sana. Alioa tena na sasa ana mtoto mwingine.

Jambo hili linaniumiza sana. Mara kwa mara najikuta nikijiuliza kama niliamua vizuri kuachana naye. Pengine kama ningevumilia, angebadilika na tungeweza kuwa na familia yenye furaha. Kwa upande mwingine, sitaki kurudisha watoto wangu ili walelewe na mama mwingine. Ni jambo gumu sana kwangu kuelewa kama nilifanya uamuzi sahihi au la. Imefika hatua natamani hata kuwa mchepuko kwa mume wangu ili maisha yaende.

Naomba ushauri wenu wana Jukwaa. Asanteni.
Umeyatimba mwenyewe, chakufanya mbane tu atunze watoto wake wakiwa kwako usijiaribu kumvunjia ndoa yake kwani ni wewe mwenyewe uliondoka kwake.
 
Hapo hakuna ushauri, atafute mwingine aliye vizuri
She is out of Soko 🤣 Maybe she can't

Ukiwa single mom harafu upate mtu makini maybe:
1. Ni mrembo hasaaaaaa
2. Ana michongo na ana mchango wa kifedha
3. Kajifunza lugha ya wanaume na anajua ku blend nao vyema kitabia ,maneno etc.
4. Rohon yuko fresh, either ndumba au Mungu
5.Mwanaume ni Simp man
6. Man ametokea ktk single mom familia na trauma zina msumbua kuona anawiwa kulea mwanamke.

Otherwise Kuishi na single mom , Kipengelee na watu wengi hawavitaki, Yuko hapo sabab imembidi.
 
Haya Sasa ndo madhara ya kufanya maamuzi kwa kukurupuka.

Mwenzio kasha move on wewe pambana tu na hali yako coz uliyataka mwenyewe.
 
Kwangu nitamshauri hivi:
1. Awekeze nguvu zake kwenye kujenga familia yake, wanawake huwa hawasikii mpaka akutane na kitu kizito. Yeye kuwa mchepuko haibadilishi dhana kwamba bado mwanaume ana familia yake.
2. Mwanaume kama anataka mchepuko basi atafute mwingine asipashe kiporo!
 
Hizi takwimu za wanawake wengi kwenye ndoa kuishi kama wajane umetoka nazo wapi? [emoji848] Me nadhani ni muda muafaka sasa ukaacha kutunga taarifa zako.
Unataka kuniambia wanaume wengi wanawapa wake zao ela za kujitunza? Mwanaume akishanunua mchele na maharage amemaliza. Wengine wanakwambia hawana hela, mke ndo anahangaika na familia. Hamuwezi kukubali ila hata wao humu wanasoma
 
Hivi wanawake huwa mnatatizo na wanaume kuwa na mwanamke mwingine kwa sababu zipi za msingi?


Hebu nilistie hizo sababu hapa nataka kujua kutoka kwako.

Kwa maana wanawake asilimia kubwa nimegundua mnapenda kuwa na reactions na tabia za kiume. Yaani hampogo serious na kile mnachokisema au kukizungumzia.

Je, wewe kama mwanamke hebu niwekee hapa list ya sababu. Kwasababu nikitazama Dini haijabatilisha mwanaume kuwa na mke zaidi ya m'moja ila imebatilisha mwanamke kuwa na mwanaume zaidi ya m'moja.

Wewe nipe hapa sababu hata 5 za msingi kwann mwanaume ni tatizo na sio ruhusa kuwa na mwanamke au wanawake nje ya mkewe, na mimi nitakupa sababu kwann mwanaume ana uhalali kuwa na mwanamke zaidi ya mkewe kwa mujibu wa wanavyoishi na kwann mwanamke ni kosa hata kuthubutu kumuwazia mwanaume mwingine kuwa anaweza kuwa na msaada sawa au wa kumkaribia mumewe? [emoji848]
Wewe kama unapenda kuwa na wanawake wengi si uoe? Waislam mbona wanaoa wengi tu. Ila mwanaume wa kikristo kama unajiona hujielewi na unatabia za mbwa acha kuoa endelea kusuuza rungu magonjwa yakikukuta tunakuzika unapumzika kwani hasara ya nani
 
mwanaume anapotengena na mwanamke wake, m wanaume onaondoka man alone sasa nyie wenzetu mnaachwa na mzigo wa watoto(mara nyingi hiko hivyo) sasa auoni kunatofauti hapo
Alokwambia watoto kwa mama ni mzigo nani? Si ndo mnakujaga kulalamika mnasema watoto hawanitaki wanamlilia mama yao. Wakifanikiwa wanahangaika kumtunza mama yao mnaishia kutoa laana tu.
 
Back
Top Bottom