Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida sana.
1). Jamaa mkimya sana akiamka asubuhi salamu anaaga anaenda kazini akirudi salamu anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka.
2). Ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada. Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja.
3). Sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja.
Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri.
1). Jamaa mkimya sana akiamka asubuhi salamu anaaga anaenda kazini akirudi salamu anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka.
2). Ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada. Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja.
3). Sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja.
Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri.