GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
ByutifulGENTAMYCINE kanisa Katoliki noma sana
Nguvu za Giza NI feki,zinadumu kwa muda TU halafu zinaondoka.Sijui safari hii Mganga wangu wa tokea 2016 kakosea wapi kwani mwaka 2021 nilipendwa kweli kweli ila hivi sasa Nachukiwa hadi nawaza au Mganga wangu kwa bahati mbaya au kwa Makusudi alinibadilishia Dozi ndiyo maana Nyota haingai tena hata nikiwaonyesha Upendo wote na Kuwarembulia juu?
That's why I'm proud of my Roman Catholic Church.GENTAMYCINE kanisa Katoliki noma sana
Huyo him ni nani? Ni Samia?Samia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.
Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.
Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..
Watanzania wote sio Wahafidhina.
AiseeSijui safari hii Mganga wangu wa tokea 2016 kakosea wapi kwani mwaka 2021 nilipendwa kweli kweli ila hivi sasa Nachukiwa hadi nawaza au Mganga wangu kwa bahati mbaya au kwa Makusudi alinibadilishia Dozi ndiyo maana Nyota haingai tena hata nikiwaonyesha Upendo wote na Kuwarembulia juu?
Happen to him hahaha English komaSamia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.
Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.
Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..
Watanzania wote sio Wahafidhina.
Ingawa mwanakwenda alikuwa bandidu kinyama lakini haki yake ya kuminywa kindezi halafu masela wanamnanga na kushangilia ndo wanakunywa dawa yao sasa.Sijui safari hii Mganga wangu wa tokea 2016 kakosea wapi kwani mwaka 2021 nilipendwa kweli kweli ila hivi sasa Nachukiwa hadi nawaza au Mganga wangu kwa bahati mbaya au kwa Makusudi alinibadilishia Dozi ndiyo maana Nyota haingai tena hata nikiwaonyesha Upendo wote na Kuwarembulia juu?
Kosa lako ni kuonesha upendo na kurembua macho kulikopitiliza kwa wawekezaji badala kurembua macho na kuonesha werevu na weledi kwenye mikataba! Mganga hana kosa!Sijui safari hii Mganga wangu wa tokea 2016 kakosea wapi kwani mwaka 2021 nilipendwa kweli kweli ila hivi sasa Nachukiwa hadi nawaza au Mganga wangu kwa bahati mbaya au kwa Makusudi alinibadilishia Dozi ndiyo maana Nyota haingai tena hata nikiwaonyesha Upendo wote na Kuwarembulia juu?
Umenikumbusha wizi wa Fedha za Escrow.Sijui safari hii Mganga wangu wa tokea 2016 kakosea wapi kwani mwaka 2021 nilipendwa kweli kweli ila hivi sasa Nachukiwa hadi nawaza au Mganga wangu kwa bahati mbaya au kwa Makusudi alinibadilishia Dozi ndiyo maana Nyota haingai tena hata nikiwaonyesha Upendo wote na Kuwarembulia juu?
Acha shobo bintiSamia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.
Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.
Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..
Watanzania wote sio Wahafidhina.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kada mwenzio huyo takataka kabisa.
Wewe jamaa linafiki sana. Si wewe ndo ulikuwa hapa mwanzoni unamuunga mkono mama mkataba wa bandari. Na kutukana wengine waliokuwa wanaupinga?Sijui safari hii Mganga wangu wa tokea 2016 kakosea wapi kwani mwaka 2021 nilipendwa kweli kweli ila hivi sasa Nachukiwa hadi nawaza au Mganga wangu kwa bahati mbaya au kwa Makusudi alinibadilishia Dozi ndiyo maana Nyota haingai tena hata nikiwaonyesha Upendo wote na Kuwarembulia juu?