Anapata wapi Nguvu ya kuandaa 'Wiki ya Iliyomshinda Nchi" kwao Paje Kizimkazi, wakati TEC wamempiga na Kitu Kizito Jana?

Anapata wapi Nguvu ya kuandaa 'Wiki ya Iliyomshinda Nchi" kwao Paje Kizimkazi, wakati TEC wamempiga na Kitu Kizito Jana?

Samia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.

Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.

Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..

Watanzania wote sio Wahafidhina.
Mshauri ashupaze shingo.
 
Samia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.

Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.

Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..

Watanzania wote sio Wahafidhina.
Huyo kutoongea kwake ni Kwa sababu ni debe tupuu, mweupe kkichwaniii !!.


Hamna Cha Kujifanya Et anapenda ukimya.
 
Samia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.

Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.

Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..

Watanzania wote sio Wahafidhina.
Baada ya kupokea ripoti ya CAG amefanya nini mkuu? Kama sio dhaifu
 
Samia sio Kiongozi dhaifu na WA kuendeshwa Kwa mihemko.

Ni ajabu Hadi Leo hii hujamsoma, umewahi sikia akipayuka Kwa lolote au kupanic? Mara ya mwisho Rais Samia kupanic ni siku ya kupokea ripoti ya CAG kinyume na hapo haitakuja kutokea.

Kiufupi msijiamini sana anaweza kusema liwalo na liwe hakuna kurudi nyuma regardless of what may happen to him..

Watanzania wote sio Wahafidhina.
"...regardless of what may happen to HIM"
Hahaaa....ndio ujue uko kundi gani nchi hii.
 
Back
Top Bottom