Anasema anajenga kwa kukopa, Magufuli alitaka tujitegemee kwa kiasi fulani kujenga

Kodi ulikuwa unalipa kiasi gani?
 
A/c kwenye hewa Safi
 
Ukiwa unatoa data jitahidi kuweka data za ukweli...Elimu bure ilikua 18B kwa mwezi not 100...
 
Mjinga tu ndio alishindwa kumuelewa magu. Alichomaanisha kama wanaweza kukuibia mabilioni ya madini ukidanganywa ni mchanga tunahitaji kuamka usingizini tuweze kua nchi tajiri.
Hukusikia Kabudi alivyosema au hujui kama hujui.
 
Mjinga tu ndio alishindwa kumuelewa magu. Alichomaanisha kama wanaweza kukuibia mabilioni ya madini ukidanganywa ni mchanga tunahitaji kuamka usingizini tuweze kua nchi tajiri.
Hukusikia Kabudi alivyosema au hujui kama hujui.
 
Dar-Moro alikopa wapi?

..Moro to Dodoma to Makutupora ni fedha za ndani au mkopo?

..Na Isaka to Mwanza ni fedha za ndani au mkopo?

..Hizo ndizo segments za Sgr ambazo ujenzi wake uliakuwa umekwisha anza wakati Magufuli akiwa hai.
 
Chagua moja hapa:- Uwe mateka wa mtu mwongo ambaye alikuwa anakopa halafu anadanganya kuwa anajenga kwa fedha za ndani.

AU

Utumie akili zako vizuri kwa kumuelewa Samia ambaye anakiri anakopa kumalizia kujenga miradi aliyoanzisha mtangulizi wake.
Fala kazini
 
Dar-Moro alikopa wapi?
The Tanzanian government has signed a facility agreement with Standard Chartered for a US$1.46bn term loan to fund part of the construction of the country's latest mega-project, the Standard Gauge Railway (SGR).Feb 18, 2020


Vijana acheni uvivu someni. Mtaishia kuwa vijana wa kiki tu!

Mkopo wenyewe nikupe data zaidi ni wa 6 years 8% kwa mwaka!! wakati Mama alipata 3% kwa 20 years aliotumia kujenga madarasa!. Hapo Raisi alikuwa Mama au Magu?
 
Awamu ya sita ilikopa katika kuendeleza miradi ingwa awamu ilitumezesha uongo wa mchana kweupe kuwa haikopi . Na wabobevu wa masuala ya kikopo walihoji Sana lakini sauti zao zilizimwa na propaganda za uongo.
Hivyo hayati magu alikopa Sana ingawa alitumia uongo kutuhadaa sisisi tusiojua Mambo.
 
Hii nchi itakuwa vigumu kupata maendeleo ya kweli kwa sababu kila Rais anayeingia madarakani anakuja na maono,mitazamo na misimamo yake ya jinsi gani nchi inatakiwa kwenda na kipindi chake kikiisha anayefuata naye anaanza na yake yani hakuna muendelezo kabisa
 
Jamaa yenu alikuwa anakopa na kukwapua kimya kimya, heri Dr. Ni muwazi na anasema ukweli,ukweli ni jambo jema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…