Anasema anajenga kwa kukopa, Magufuli alitaka tujitegemee kwa kiasi fulani kujenga

Chagua moja hapa:- Uwe mateka wa mtu mwongo ambaye alikuwa anakopa halafu anadanganya kuwa anajenga kwa fedha za ndani.

AU

Utumie akili zako vizuri kwa kumuelewa Samia ambaye anakiri anakopa kumalizia kujenga miradi aliyoanzisha mtangulizi wake.
Sasa hapo unalinganisha nini wakati hakuna kitu kama hicho. Unaonekana ni mlevi tu wa propaganda ya wale waliyomchukia jpm.
Mwenyewe alijua lazima mikopo na alikua muwazi kwamba serikali inatafuta mikopo.
Lakini aliongelea umuhimu wa kujitegemea na akaamua kuanza miradi mikubwa kwa hela za ndani. Aliamini wakiona tumeanza hiyo miradi mikubwa wakopeshaji watakubali kutukopesha jambo ambalo likawa sahihi.
 
Eti uwekezaji kwenye kilimo 600b. Hizo ni hela za kupigwa na vigogo. Na eti kuongeza mishara wafanyikazi? Yaani unaongeza mishahara ya wafanyakazi kwa mkopo kutoka nje?
Duh tunarudi kulekule wakati jk alikua anakopa nje kulipa mishara🤣
 
Kua serious wewe. Utani gani huu sasa.
 
ALITAKA tujitegemee kwa kibambikizia watu kesi kisha achukue Fedha zao kama za Seth wa Iptl
 
Ukweli uko wapi hapo... Utoe Kwa wananchi ujenge.

Huyu ukope utoe Kwa wananchi
 
Si furahi kukopa, lakini Haina maana kwamba mwenzake hakukopa, Kikwete anatoka madarakani 2015 deni la taifa lilikuwa trillion 30 miaka 5 ya Mzee unadata zake au ni vile tulikuwa hatuambiwi? lilifikaje deni trillion 70 last year!. Mama akope na bdugu zetu wanaomsaidia kazi waheshimu Hela tulizokopa kuwa zinatakiwa kutumika kwa malengo yaliyokubaliwa. Dodoma Kuna majengo ya wizara yanaota kama uyoga tukitegemea monthly collection it will take a number of years to complete it.
 
Kwani makufuli alikuwa akopi? taja nchi kumi zilizo endelea pasi na kukopa
 
Huyo alikuwa mwizi mbana yeye hela zake akizitoa zifanye maendeleo alizo kwapua kwanye uwazi wa ujenzi kama kweli alikuwa mkweli
 
Kama kuna mtu Bado anaamini maneno ya mwenda zake basi Milembe atangulie mwenyewe
Naona wewe ndio unahitaji kuelimishwa vinginevyo ujinga unakutesa.
Hebu fikiri mamilioni ya watz bado wanamwamini magufuli kiasi likiwekwa jina lake na la mtu mwingine yeyote atashinda uchaguzi.
 
JPM alikuwa anafanya unyang'anyi. Wafanyabiashara walikuwa wanaibiwa kutwa. Yani alikuwa hafai.
Mbona Bakhresa, Mengi, Bank za kigeni mfano Stanbic, Absa, Na wenyewe viwanda mbona hawaja wai kulala Mika kuporwa pesa zao? Au wafanyabishara gani hao waliyonyanganywa pesa zao wataje wajulikane
 
Yote kwa yote vitu tume viona na vipo, sasa hivi wadogo zetu wana teseka mpaka sasa hawaja pesa mikopo watoto wakike wana jiuza tu uko Dar kwa bei ya mihogo
 
Mjinga tu ndio alishindwa kumuelewa magu. Alichomaanisha kama wanaweza kukuibia mabilioni ya madini ukidanganywa ni mchanga tunahitaji kuamka usingizini tuweze kua nchi tajiri.
Wapi mliibiwa madini mkaambiwa ni mchanga
 
Yote kwa yote vitu tume viona na vipo, sasa hivi wadogo zetu wana teseka mpaka sasa hawaja pesa mikopo watoto wakike wana jiuza tu uko Dar kwa bei ya mihogo
Ndiyo vizuri, hii itapunguza ubakaji na watoto kunajisiwa kingono
 
Mbona makampuni awajawai kusema wameporwa pesa zao mfano Matajiri wa viwanda vya Nondo, rangi, mabati, maji na juice sasa wawataje walio porwa pesa zao, kama alikuwa ana wapora ni vizuri kwasababu Tanzania tume porwa sana na kama alikuwa ana wapora nampongeza kwasababu alikuwa akijenga kwaajili ya watanzania wote.
 
Tatizo anakopa na wananchi atuoni anacho kufanya bora tilioni 20 alizo kopa bora angenunua treni ya kisasa new model ya umeme wananchi tusige chukia mikopo yake,Magufuli ata kama alikuwa anakopa wananchi hawakuwa na asila na mikopo yake kwasababu mageuzi tuli yaona kwa kipindi kichache tu, yani ata angekopa tillioni mia wananchi tusige hoji kwasababu tunge panda treni za umeme na tunge pita juu ya madaraja mazuri na wadogo zetu wasinge cheleweshewa mikopo yao
 
Watanzania wana pesa gani mpaka Serikali ichukue ilipie miradi mikubwa, nchi hii Matajiri ni Raia wakigeni Watanzania ni wachuuzi tu ndani ya nchi yao.
 
Lakini aliongelea umuhimu wa kujitegemea na akaamua kuanza miradi mikubwa kwa hela za ndani. Aliamini wakiona tumeanza hiyo miradi mikubwa wakopeshaji watakubali kutukopesha jambo ambalo likawa sahihi.
Hapo kwenye hela za ndani ndiyo alikuwa anawabagaza MBUMBUMBU kama nyinyi na mnpigia makofi. Wenye akili tulijuwa anakopa
 
 
Naona wewe ndio unahitaji kuelimishwa vinginevyo ujinga unakutesa.
Hebu fikiri mamilioni ya watz bado wanamwamini magufuli kiasi likiwekwa jina lake na la mtu mwingine yeyote atashinda uchaguzi.
Unaongea nini , Kama alikubalika KWa nini aliiba kura? Acheni mapambio ya ajabu, mwendazake alikua janga la taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…