T TikTok2021 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2022 Posts 690 Reaction score 1,060 Jan 5, 2023 #61 paqwa said: JPM alikuwa anafanya unyang'anyi. Wafanyabiashara walikuwa wanaibiwa kutwa. Yani alikuwa hafai. Click to expand... kwa wafanyabiashara gani wa maana waliopo ambao walinyang'anya na pesa ikatosha kufanya maendeleo??????hata awamu ya tano ilikopa msitake kukuza watu bure
paqwa said: JPM alikuwa anafanya unyang'anyi. Wafanyabiashara walikuwa wanaibiwa kutwa. Yani alikuwa hafai. Click to expand... kwa wafanyabiashara gani wa maana waliopo ambao walinyang'anya na pesa ikatosha kufanya maendeleo??????hata awamu ya tano ilikopa msitake kukuza watu bure
kmbwembwe JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 10,892 Reaction score 7,780 Jan 7, 2023 Thread starter #62 Sir robby said: ALITAKA tujitegemee kwa kibambikizia watu kesi kisha achukue Fedha zao kama za Seth wa Iptl Click to expand... Seth wa iptl yule tapeli wa kimataifa? 🤣😂
Sir robby said: ALITAKA tujitegemee kwa kibambikizia watu kesi kisha achukue Fedha zao kama za Seth wa Iptl Click to expand... Seth wa iptl yule tapeli wa kimataifa? 🤣😂