Anasema hatuwezi kufanya mapenzi mpaka nimuoe, nifanyeje?

Anasema hatuwezi kufanya mapenzi mpaka nimuoe, nifanyeje?

Wadada wote wangekuwa hivyo vidume tungenyooka, ndivyo inavyotakiwa.

Tatizo linaweza kuwa;
1. Unanyimwa wewe na yupo anakula na kusaza.
2. Unataka kula na kushiba, unawe mikono usepe..yeye anataka mtu rasmi kitu ambacho ni chema sana.
3. Unavumilia ukijua natunziwa nikija kuoa nikutane na barabara mpya, ooooh siku ya siku unaishia kujuta.

Uncertainties ni nyingi sana.
Na ni wanaume wachache sana ambao wako tayari kusubiria ndoa ndio aichape

Wanawake wanapitia kipindi kigumu sana, kwa sababu mwanamke akimbania mwanaume

Mwanaume huyohuyo atamtafuta mwanamke mwingine ambaye atampea kabla ya ndoa na kuna uwezekano wa kufanya naye maisha

Huyu manzi wa no sex until marriage ataendelea kusubiria sana

Ndio maana wanawake wengi wanajaribu kumpea kwanza halafu aone uelekeo wa mwanaume jamaa akihit na kurun anajaribu kwa mwingine na mwingine kumbe ndio anafanywa malaya mdogo mdogo mpaka anakubuu

Mwanaume mwenye kiherehere ambaye atamfanya huyo mwanamke mke atakuwa ameoa malaya

Ndio maana ndoa za siku hizi zimekuwa fekero sana
 
Utapoteza muda wako hapo, songa mbele kama injili ya Yohana mbatizaji. Genuine desire cannot be negotiated.
 
Kwema wakuu,

Kuna huyu binti nimempata siku za karibuni tuna kama miezi miwili kwenye mahusioano na anasema ananipenda.

Shida inakuja hataki tufanye mapenzi anasema mpaka nitakapomuoa. Sasa ndugu zangu nashindwa kumuelewa, nifanyeje?!

Pia soma:
Kama ni bikra sawa
 
Kwema wakuu,

Kuna huyu binti nimempata siku za karibuni tuna kama miezi miwili kwenye mahusioano na anasema ananipenda.

Shida inakuja hataki tufanye mapenzi anasema mpaka nitakapomuoa. Sasa ndugu zangu nashindwa kumuelewa, nifanyeje?!

Pia soma:
Muoe.
 
Chakufanya wewe muoe tu ili uweze kufanya nae mapenzi bila hivyo mapenzi atakua anaendelea kuwapa ambao hawata muoa.
 
Kwema wakuu,

Kuna huyu binti nimempata siku za karibuni tuna kama miezi miwili kwenye mahusioano na anasema ananipenda.

Shida inakuja hataki tufanye mapenzi anasema mpaka nitakapomuoa. Sasa ndugu zangu nashindwa kumuelewa, nifanyeje?!

Pia soma:
Kama lengo lako ni kumuoa basi msikilize...
Kama ni kufanya nae ngono tu basi muache...
 
Hiyo ni dalili tosha mpenzi wako ana mwanaume mwingine anayemtosheleza kwa sex hajakuelewa huyo pita hivi usiwekeze pesa hapo
kwanini umewaza hivi? si kila mwanamke anayekataa sex ana mwanaume mwingine, hivi unajua sex sio hitaji la muhimu kwa mtoto wa kike? unajua mwanamke anaweza kaa mwaka au miaka bila sex lakini sio mwanaume??
 
Nimewaelewa masela na sina cha kupoteza kuanzia leo naachana nae na natafuta mwanamke mwingine
 
unajua mwanamke anaweza kaa mwaka au miaka bila sex lakini sio mwanaume??
acha vichekesho mkuu, ivi unajua Mwanamke haijalishi ni bikra au sio bikra ila akikaribia siku za hedhi huwa anashikwa na hamu ya kufanya mapenzi ambayo haielezeki,

Nimekupa Code hiyo itumie.
 
Mwisho ukimkuta ana jinsia mbili utafanyaje? Na jinsia ya kiume ndiyo inafanya kazi zaidi. Kama una uhakika kuwa atakuwa mke wako sex ni halali yako. Basi utakuwa unajisaidia nje ukiwa unasubiri ndoa.
 
acha vichekesho mkuu, ivi unajua Mwanamke haijalishi ni bikra au sio bikra ila akikaribia siku za hedhi huwa anashikwa na hamu ya kufanya mapenzi ambayo haielezeki,

Nimekupa Code hiyo itumie.
Kwani kupandwa na hamu ndio kufanya mkuu?
 
Unataka kumuambukiza magonjwa ya zinaa? Mbona unakomalia sana?.
 
Back
Top Bottom