Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku


Mkuu uislam umeingiaje hapo
 
Mkuu wa wilaya kaenda kumfumania jamaa getoo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ila haya maishaa bhanaa...! Mteule wa rais hana majukumu ya maana kabisa yani
 
Mkuu uislam umeingiaje hapo
Vizuri
Rejea kauli ya bakwata Tanzania isifute Sheria ya ndoa ya kuolewa bint akiwa na miaka 14 ,kwamba itapingana na dini

Jamii ,madrasa mnazosema vyuo ndivo yote hay yanaazia huko ,hivyo ukikutana najamii kama ya kusini ambayo ni tipiko uislam watoto wakike wanaharibiwa sana
 
Uislam unaruhusu hayo?
 
Ilimkuta jamaa yangu Sana.

Bado kidogo Tu nimpoteze maana jamaa nae alikuwa m,bishi dizaini alikaza akagoma kutoa hela hatua ya mwanzoni.

Tulikuja kutoa zaidi ya laki 8 na nusu plus usumbufu na muda kupotea. Na jamaa Bado kidogo taarifa zifike ofisin kuwa amebaka.

Ni Mungu Tu. Ila hivi vibint ni wa kukaa nao mbali, Tuache mazoea nao Kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hawajafanya vizuri, hata kuziba uso hapana.
Mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…